Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 534
- 1,746
Habari niende direct kwenye topic katika vita hii ya kumshinda shetani Walokole pekee ndio walio mstari wa mbele frontline katika vita hii ya kumpinga shetani hata ukiingia makanisa ya kilokole watu wapo fit kwenye Maombi wanaomba kwa nguvu MNO.
Kuliko makanisa yote na Huo ndio ukweli kwamba katika vita hii ya kumshinda shetani walio frontline ni Walokole Pekee na ndio maana Walokole wengi pia ukiwaangalia Kimwili wamechoka kwa sababu kwenye vita hii wako mstari wa Mbele kama ujuavyo katika vita yoyote ile watu walio frontline ndio huwa wamechoka sana kwa sababu mda wote wanakwepa mabomu,Visu, nk.
Hivi tanzania hii kuna watu wanaomba kwa nguvu kama Walokole?? Inabidi tuwape heshima yao Walokole maana wao ndio wanao simama Mbele ya vita mishale ya umasikini Kutoka kwa yule mwovu inawapata wao mishale ya uhaba wa chakula wao kwa Kifupi mlokole ni mwanajeshi wa Kristo alie halisi Asie choka choka.
Kuliko makanisa yote na Huo ndio ukweli kwamba katika vita hii ya kumshinda shetani walio frontline ni Walokole Pekee na ndio maana Walokole wengi pia ukiwaangalia Kimwili wamechoka kwa sababu kwenye vita hii wako mstari wa Mbele kama ujuavyo katika vita yoyote ile watu walio frontline ndio huwa wamechoka sana kwa sababu mda wote wanakwepa mabomu,Visu, nk.
Hivi tanzania hii kuna watu wanaomba kwa nguvu kama Walokole?? Inabidi tuwape heshima yao Walokole maana wao ndio wanao simama Mbele ya vita mishale ya umasikini Kutoka kwa yule mwovu inawapata wao mishale ya uhaba wa chakula wao kwa Kifupi mlokole ni mwanajeshi wa Kristo alie halisi Asie choka choka.