Kwenye misafara ya CCM na UKAWA

Kwenye misafara ya CCM na UKAWA

Chinu

Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
19
Reaction score
7
Katika misafara na mihadhara wanayofanya CCM watu wanaoonekana wengi ni wale waliovaa sare za ccm yaani kijani na njano tofauti na ya UKAWA ambapo wanaoonekana wengi wamevaa mavazi ya kawaida. Hii inaashiria nini?
 
Ukawa inapendwa na wananchi waliochoka utawala kandamizi wa CCM tofauti na hao wanaovaa nguo za figili tena kwa kusombelewa na malori.
 
Back
Top Bottom