Kwenye External memory card. Msaada

Kwenye External memory card. Msaada

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Nilinunua External memory card ya 8GB.. ila napatwa na matatizo kibao tu kwenye hii memory

1. Nikiweka vitu kutoka internal memory ya simu baadae huvikuti hasa hasa picha

2. Documents za Pdf/ppt/pptx zingine zinasoma/kufunguka na zingine hazifunguki document reader inasema Can't open the file

3. Videos nazo nikiweka zinasumbua hvyo hvyo

4. Kuna file moja linaitwa LOST.DIR linatokea mara kwa mara hasa nikifanya Restarting ya phone

5. Nimejaribu kuformat memory ila hayo yote yanaendelea


Kwa aliyekutana na tatizo hili anaweza kuniambia ni nn hasa
 
Kaka kiukweli hayo ni matatizo makubwa yanayo zikumba hizi memory card
.
Utakuta hivi
.
Uki iweka kwenye PC inakwambia format before open... cc. Windows 7/8 uki format inakwambia windows can't complete ..........
.
Ukiingiza nyimbo zinaingia na ziki play utaona zina scratch au hazi play kabisa... Ila ukiitoa kwenye PC na kuweka kwenye simu haukuti kitu.... Vitu vya mala ya kwanza ndivyo vilivyo baki..... Hii imekuwa READ ONLY yaani kuna wadudu wame ifanya iwe hiv au ndo inaelekea ku corrupt...
.
Nyingine utakuta haiwezi kupokea kabisa kitu chochote kupitia PC na wala hai formatiki hii ni WRITE PROTECTED lakin chaajabu uki rusha nyimbo kupitia simu inapokea vizuri na zina play lakin uki iweka kwenye PC itakwambia format before open .... > windows could not complete ......
.
Tatizo kama hilo la ulilo nalo saizi ujue ni virus wameifanya memory yako isiweze kutambua format ya kitu chochote...
.
Mfano
.
Lucky dube ... One love mp3
copyright (none)
format (none)
album (none)
.
Lakini kwenye format ilitakiwa iwe mp3 lakin yenyewe inakwambia none kwa hiyo uki play itakwambia can't open file....
.
Ndivyo zinavyo kufaga hivi vitu kaka
 
Kaka kiukweli hayo ni matatizo makubwa yanayo zikumba hizi memory card
.
Utakuta hivi
.
Uki iweka kwenye PC inakwambia format before open... cc. Windows 7/8 uki format inakwambia windows can't complete ..........
.
Ukiingiza nyimbo zinaingia na ziki play utaona zina scratch au hazi play kabisa... Ila ukiitoa kwenye PC na kuweka kwenye simu haukuti kitu.... Vitu vya mala ya kwanza ndivyo vilivyo baki..... Hii imekuwa READ ONLY yaani kuna wadudu wame ifanya iwe hiv au ndo inaelekea ku corrupt...
.
Nyingine utakuta haiwezi kupokea kabisa kitu chochote kupitia PC na wala hai formatiki hii ni WRITE PROTECTED lakin chaajabu uki rusha nyimbo kupitia simu inapokea vizuri na zina play lakin uki iweka kwenye PC itakwambia format before open .... > windows could not complete ......
.
Tatizo kama hilo la ulilo nalo saizi ujue ni virus wameifanya memory yako isiweze kutambua format ya kitu chochote...
.
Mfano
.
Lucky dube ... One love mp3
copyright (none)
format (none)
album (none)
.
Lakini kwenye format ilitakiwa iwe mp3 lakin yenyewe inakwambia none kwa hiyo uki play itakwambia can't open file....
.
Ndivyo zinavyo kufaga hivi vitu kaka

Cha kufanya hapa ni kipi sasa mkuu
 
Cha kufanya hapa ni kipi sasa mkuu

.
Hzi sd card huwa hazinaga jinsi mkuu, kwa mfano zikifika ktk hali kama hiyo...
Huwa zina corrupt slowly sana...
.
Nna 4GB kama nne hivi zote zipo ktk hali mbaya
.
Kungekuwa na vi software vya kufanyia Recover ingekuwa afadhari....
.
Jaribu kui format na hiki apa USB formater ............. Kinasaidia pia
.
Lakini ki run as adminstrator
tumia hicho huku uki change FAT = NTSF afu unairudisha tena ktk FAT au hata FAT32 lakini kumbuka simu zinasoma FAT/FAT32 tu kwa hiyo ukiformat kwenda NTFS irudishe tena kwa ku format katika FAT32
.
.
Jaribu inaweza kukupa positive result
 
Nilishakuwa na tatizo kama hilo. lakini 7bu kubwa ilikuwa virus. nlichofanya niliformat ktk ubuntu coz kwa windows inagoma, then, nikainstal instal antivirus ktk cm na kurudisha memory. ikawa poa kabisa. jaribu kufanya hvy pia
 
Back
Top Bottom