Kwenu wanambozi kuwa makini

Kwenu wanambozi kuwa makini

Joined
Nov 23, 2012
Posts
20
Reaction score
5
Nikiwa mzaliwa wa MBOZI na mzalendo miaka kadha imepita bila kuwa na mbunge makini nikianzia enzi za marehemu HALINGA hadi leo tuna mbunge aliyekosa weledi katika masuala ya kiuchumi kazi kuunga mkono hoja za chama(ccm) tuu.Niwasihii waMBOZI hususani jimbo la mbozi mashariki tuungane pamoja na jitihada za M4C ili tukomboe jimbo letu.pia nitumie fursa hii kuwatahadharisha na MTELA MWAMPAMBA ambaye anatumia kofia ya ccm na vibaraka wake lengo kudhoofisha harakati za mabadiliko na uhuru wa kweli. huyu ni mtu wa kumbeza kwani hana jipya zaidi ya kutaka manufaa yake na si wananchi kwani mimi namuelewa vizuri tangu tukiwa chuo.Naomba kuwasilisha.........
 
Atakuja aje, alitwaga Umtela uyo, tulimubhomba yoka nu wamwabho u nashonza!, abhene bhakutulola ngati tutali ni njele,inge nsukulu naswe tusambiliye nkani hadi kumukoani, ane ndi nu mulaha nabho lehaga welele
 
Habari ya Mwampamba pale Mbozi Imeishafungwa na Amevuna alichopanda .
 
Ha ha haaaa! Ooooooh poor u Mtela my doomed Varsity mate! You are real finished so you just get lost from opposition politics!
 
Nikiwa mzaliwa wa MBOZI na mzalendo miaka kadha imepita bila kuwa na mbunge makini nikianzia enzi za marehemu HALINGA hadi leo tuna mbunge aliyekosa weledi katika masuala ya kiuchumi kazi kuunga mkono hoja za chama(ccm) tuu.Niwasihii waMBOZI hususani jimbo la mbozi mashariki tuungane pamoja na jitihada za M4C ili tukomboe jimbo letu.pia nitumie fursa hii kuwatahadharisha na MTELA MWAMPAMBA ambaye anatumia kofia ya ccm na vibaraka wake lengo kudhoofisha harakati za mabadiliko na uhuru wa kweli. huyu ni mtu wa kumbeza kwani hana jipya zaidi ya kutaka manufaa yake na si wananchi kwani mimi namuelewa vizuri tangu tukiwa chuo.Naomba kuwasilisha.........
Wewe vipi umetumwa na Mwampashi nini?
Hiki ni kijiwe cha kuchambua isssues na si kupiga kampeni kinyemela!
 
Mtela hana sifa za kuwanyima watu wa mbozi usingizi Mtela ni sawa na mtu anae jaribu kupiga teke ncha ya mkuki huku akiwapeku.M4c mbozi usipime walishaikubali tangu zamani na ndiyo iliyomfanya Mtela akaonekana naye ni mtu kati ya watu.
 
Wewe vipi umetumwa na Mwampashi nini?
Hiki ni kijiwe cha kuchambua isssues na si kupiga kampeni kinyemela!
uchungu wa mwana aujuae mzazi ww jamaa hujui taabu na shida tunazozipata watu wa vijiji vya Ipapa, ipunga sakamwela,ipazya juu ya uhaba wa maji na Mbalabala zye mbovu nkani!
 
Nikiwa mzaliwa wa MBOZI na mzalendo miaka kadha imepita bila kuwa na mbunge makini nikianzia enzi za marehemu HALINGA hadi leo tuna mbunge aliyekosa weledi katika masuala ya kiuchumi kazi kuunga mkono hoja za chama(ccm) tuu.Niwasihii waMBOZI hususani jimbo la mbozi mashariki tuungane pamoja na jitihada za M4C ili tukomboe jimbo letu.pia nitumie fursa hii kuwatahadharisha na MTELA MWAMPAMBA ambaye anatumia kofia ya ccm na vibaraka wake lengo kudhoofisha harakati za mabadiliko na uhuru wa kweli. huyu ni mtu wa kumbeza kwani hana jipya zaidi ya kutaka manufaa yake na si wananchi kwani mimi namuelewa vizuri tangu tukiwa chuo.Naomba kuwasilisha.........

Mtela Mwampamba namfahamu vizuri toka akiwa pale Duce. Ni mpenda pesa by any means. Anapenda kupata pesa kwa namna yeyote. Mtakumbuka wana udsm 2010/2011 Mwampamba aligombea u mr udsm hali akijua surayake ipo kama babu wa miaka 90 na iliyopoteza mvuto akiwa amevaa kihuni bt lengo ilikuwa2 apate pesa kwani kila mshiriki alikuwa anapata pesa hata usiposhinda. Matamasha ya chuo kama welcome first year alikuwa akijichomeka kuwa kwnye kamati na baunsa mlangoni huku akiwa amevuta bangi zake. Hajawahi kukosa supplimentary miaka yote mi3 pale Duce na aliponea chupuchupu kupata disco. Nawashauri mnaomuunga mkono Mwampamba mumpuuze kwani hana akili na ni mvuta bangi tena mhuni wakutupwa. Wanambozi kumchagua mwampamba bila kujali anapitia chama gani ni janga kwenu wanambozi na taifa kwa ujumla.
 
uchungu wa mwana aujuae mzazi ww jamaa hujui taabu na shida tunazozipata watu wa vijiji vya Ipapa, ipunga sakamwela,ipazya juu ya uhaba wa maji na Mbalabala zye mbovu nkani!

Naona leo wasowa njele mnatawala jukwaa.kazi kwenu kwani huwa mnatuangusha siku zote kwa kukataa mabadiliko.yetu macho.
 
Back
Top Bottom