4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,521
- 13,381
Leo sisamii ndugu zangu, ni matumaini yangu mko wazima
Rejea mada tajwa hapo juu, kumekuepo na upumbavu hasa kwa madereva wa serikali bila kunzingatia taratibu, usalama wa barabarani, leo yupo mpubavu mmoja kanibutua na kukutana na ngao maana pikipiki ya cc 3000 linastahili mikimiki, ila hakukimbia alisimama nami nikasimama uyu dereva alikua na mjinga mmoja hivi amevaa sare za wale askari walindao wanyama poli.
Ameshuka ati anaanza nipiga mikwala, wapi nilikua naelekea ishara zote ,nilitoa , alafu D , 0 ati anaanaza nipiga mikwala, uzuri pikipiki ilikuwa on, wamecheza na ngao ya pipiki, so nilimuliza huyo Fala kwama indicator inaonesha wapi na why niparamia, na je speed katika makazi ya watu hata kama hakuna kibao inatakiwa zahidi ya 50 akosa jibu.
This time nyie wapumbavu mtajua hamjui
Rejea mada tajwa hapo juu, kumekuepo na upumbavu hasa kwa madereva wa serikali bila kunzingatia taratibu, usalama wa barabarani, leo yupo mpubavu mmoja kanibutua na kukutana na ngao maana pikipiki ya cc 3000 linastahili mikimiki, ila hakukimbia alisimama nami nikasimama uyu dereva alikua na mjinga mmoja hivi amevaa sare za wale askari walindao wanyama poli.
Ameshuka ati anaanza nipiga mikwala, wapi nilikua naelekea ishara zote ,nilitoa , alafu D , 0 ati anaanaza nipiga mikwala, uzuri pikipiki ilikuwa on, wamecheza na ngao ya pipiki, so nilimuliza huyo Fala kwama indicator inaonesha wapi na why niparamia, na je speed katika makazi ya watu hata kama hakuna kibao inatakiwa zahidi ya 50 akosa jibu.
This time nyie wapumbavu mtajua hamjui