Walivyolala wamenikumbusha mbali sana, Jamaa mmoja alipitiwa na usingizi tukiwa kwenye seminar wacha ajambeee kwa sauti.Watu wote haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
shuwa usingiz hauna adabu unaweza ukajamba kwa sauti huku ukiwa una sikiliza hotuba ya mheshimiwa huku ukiwa ume tandika ucingiz wanguuuuuuuuuuuuuuvuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu