aaaah
kumbe sku ike nilikosa makubwa mweer!
uwe una nitag bhana mambo kama yakiwa yana noga huko
wahenga kama mie tunahitajika tuone
Ule uzi umeniumiza sana ningekuwa mhehe sasa hivi mngekuwa mnaongea mengine. Sijui Inna hajui kuwa nampenda bado
asee ule uzi kumbe ulikuwa mtam hivi ngoja nika utafute
Naondoka njoo unibebeUkidondoka niambie nije nikubebe
Na muache kututesa bhas paleNi kweli namuomba Mungu amsaidie kwenye kupambana wanaume mmeumbiwa mateso
We sikuwezi unao bebez zako wawili inna na relatoNaondoka njoo unibebe
nakubust aje wa kukubeba mazima
Upo ila binadamu wanafiki wanataka kunifitinisha na Inna wangu
Hawapo sa hiviWe sikuwezi unao bebez zako wawili inna na relato
Ahahha huo ni ujinga waoNa muache kututesa bhas pale
Inapotokea tukawasomesha
Wengne wanatangulia kabla
Ya,sku zao
[Color= yellow]Triple A[/color]
Ahahahahh akija na marafiki itakuwa sooMwambie aje mwenyewe, asije na marafiki zake!!!
Ahahha huo ni ujinga wao
We sikuwezi unao bebez zako wawili inna na relato
Wameenda wapi tena si uliwafungulia uzi jamanHawapo sa hivi
Naagiza ninachopenda muhudumu atakuja hapo muda si mrefu nikuite shemela au kaka au mkuu jaman
Iceman 3D kweli umenifanyia hiviii,unamsifia mwanamke mwingine nbele yangu hata kama mim ni mbaya jamani,,basi na mim ntaenda kufanyiwa upasuaji niwe kama vera sidika kwa nyuma,yaan hata kama ukisema nifanyiwe upasuaji niwe kama paka ntakuwa tu sasa mim nafanyaje sasa nimependa mwenyewe hakuna namna,umeniumiza sana leoo
Daby kweli mim Ice navyompenda hivyo ananifanyia hivyo mi najiua haki tena mim mapenzi basi