Unataka kubaki au kutoka? Tuanzie hapo
Unataka kubaki au kutoka? Tuanzie hapo
binti, hakuna cha ushuari
hapo, uamue ili mumeo aamue
hiyo ni vita kati ya wewe na huyo dada ambaye anaamini wewe ulimpora
penzi, na huyo mumeo ni -----... si heshima hata kidogo kuruhusu mtu wa
nje kutawala au kuingilia ndoa yako, huyo ----- alitakiwa apige stop huo
ujinga zamani sana, hata kama anendelea nae, lakini alitakiwa awe
ameweka mipaka kati upuuzi wake na ndoa yake
una maamuzi mawili tu, kuanza mbele, au kupambana, lakini kwenye kupamba
kama mumeo yupo upande wa pili, ujue huna chako.
siku hizi watu wana-share ndoa hdi 15 years.... kama umekubali hilo,
basi jiandae kuwa na watoto wengi tu wengine uliowazaa na wengine wa
huyo dada nk
The bottom line is... MUMEO NI ----- NA HAJUI NDOA, ALITAKIWA AWEKE
MIPAKA YA UPUUZI NA UJANA KWANZA
Funga na kuomba ndio njia pekee kama unaipenda ndoa yako.
Mdada anaharibu ndoa yako
Mumeo anaruhusu
Hakuna unachoweza fanya zaidi ya kusali kuiombea ndoa yako.
pole sana kaa na mumeo sema nae,ikibidi washirikishe wasimamizi wenu wa ndoa
nataka kubaki maana nampenda sana mume wangu kutoka moyoni[/QUOT
Sasa sikia,unachotakiwa kukifanya ni kigumu lakini ni dawa kubwa sana. Puuza vitimbi,maruerue na makorokocho ya mume wako kwa huyo mwanamke mwingine. Achana na kufuatilia mawasiliano ya mume wako na huyo mwanamke mwingine.
Ni hivi,binaadamu ameumbwa kama kiumbe mpenda sifa.Unapomfuatilia na kumhojihoji mumeo ndipo yeye anapoongeza manjonjo ya mawasiliano na huyo mwingine ili akuumize zaidi. Unamfanya ajidai kuwa 'kwake umefika' na hauna jinsi. Anavimba bichwa. Anakudharau. Anakupuuza.
Mpuuze naye aone anachokifanya ni upuuzi. Lakini,siku moja moja chachamaa na utishie hata kumlazimisha kupima afya. Atafyata mkia. Ndoa yako itakuwa salama.
Fanya hivyo uone
nataka kubaki maana nampenda
sana mume wangu kutoka moyoni[/QUOT
Sasa sikia,unachotakiwa kkufanya ni kigumu lakini ni dawa kubwa sana.
Puuza vitimbi,maruerue na makorokocho ya mume wako kwa huyo mwanamke
mwingine. Achana na kufuatilia mawasiliano ya mume wako na huyo mwanamke
mwingine.
Ni hivi,binaadamu ameumbwa kama kiumbe mpenda sifa.Unapomfuatilia na
kumhojihoji mumeo ndipo yeye anapoongeza manjonjo ya mawasiliano na huyo
mwingine ili akuumize zaidi. Unamfanya ajidai kuwa 'kwake umefika' na
hauna jinsi. Anavimba bichwa. Anakudharau. Anakupuuza.
Mpuuze naye aone anachokifanya ni upuuzi. Lakini,siku moja moja
chachamaa na utishie hata kumlazimisha kupima afya. Atafyata mkia. Ndoa
yako itakuwa salama.
Fanya hivyo uone
asante sana kaka Petro kwa ushauri mzuri na wenye changamoto nyingi nitajitahidi kadiri niwezavyo kuyatekeleza hayo hatua kwa hatua na siku bada ya siku,ila ukwl ni kwamba my heart is dying inside