maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,416
- 3,236
Asalaam aleykum!
Kutokana imani yangu ya kua ni muislamu ninaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,basi siku moja baada ya kumaliza kula na mke wangu tukawa tunapiga stori mbili tatu.Baadae mke wangu akaniuliza "hivi mme wangu unapenda kuoa mke wa pili?
Mimi nikamjibu kwa maisha ya sasa yalivyo siwezi kuoa mke wa pili lakini mambo yakiwa mazuri naweza kuoa mke wa pili.Nilivyomjibu hivyo basi akaniangaliiiiiiia halafu akanitamkia maneno yafuatayo;
"kama hivyo basi bora tuishi maisha ya chini lakini niwe peke yangu"
Haya maneno nikiyakumbuka hua yaninipa faraja sana na kuamini kweli wanawake wanaopenda wanaume kwa dhati wapo.
Hii ndio sababu pekee ambayo nikitaka kuoa mke wa pili nitaweka vipengele vigumu vya kimkataba ambavyo vitamlinda mke wangu wa kwanza.Jamani kupendwa raha sana isitoshe mwanamke mwenyewe ni mzuri wa tabia,umbo na sura yaani my wife ni shombe shombe rangi rangi,nywele nywele na sauti ndio daah!Mashaalah.
NB;Inabidi kumuomba sana mungu ili kuweza kuvishinda vishawishi maana mke wako hata akiwa mzuri lazima utatamani mwingine.
Kutokana imani yangu ya kua ni muislamu ninaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja,basi siku moja baada ya kumaliza kula na mke wangu tukawa tunapiga stori mbili tatu.Baadae mke wangu akaniuliza "hivi mme wangu unapenda kuoa mke wa pili?
Mimi nikamjibu kwa maisha ya sasa yalivyo siwezi kuoa mke wa pili lakini mambo yakiwa mazuri naweza kuoa mke wa pili.Nilivyomjibu hivyo basi akaniangaliiiiiiia halafu akanitamkia maneno yafuatayo;
"kama hivyo basi bora tuishi maisha ya chini lakini niwe peke yangu"
Haya maneno nikiyakumbuka hua yaninipa faraja sana na kuamini kweli wanawake wanaopenda wanaume kwa dhati wapo.
Hii ndio sababu pekee ambayo nikitaka kuoa mke wa pili nitaweka vipengele vigumu vya kimkataba ambavyo vitamlinda mke wangu wa kwanza.Jamani kupendwa raha sana isitoshe mwanamke mwenyewe ni mzuri wa tabia,umbo na sura yaani my wife ni shombe shombe rangi rangi,nywele nywele na sauti ndio daah!Mashaalah.
NB;Inabidi kumuomba sana mungu ili kuweza kuvishinda vishawishi maana mke wako hata akiwa mzuri lazima utatamani mwingine.