dady Vanny
Member
- Apr 29, 2018
- 28
- 9
Nimejaribu kufuatilia nakufikiria nimegundua Mungu niwaajabu...kwetu sisi wanaume nmeona kwawale maplayboy Mungu amakuonesha jinsi watu wanavoumizwa kupitia hyo tabia yakuwachezea mabinti nakuwaacha maana beliave me ukiwa natabia chafu kwamabinti pia unabarikiwa mtoto wakike mzuriiii hapo ndo itajua Mungu sio Deus..tuache hizi tabia asee hayo mambo tisipende sana..kumbuka unavomchezea binti wawatu vivo hivo mkeo,mwanao na nduguyo watafanyiwa hivo......
