NI NANI HUYU ?
10. Kubwa lakini sio la mwisho, bwana huyu amepanga kwa kutumia hela za hao Wahindi
na Maburushi kuwanunua wajumbe wote wa Mkutano Mkuu wa CCM ili wajumbe hao siku ya
siku wasilirudishe jina la Mheshimiwa, kipenzi chetu Jakaya Mrisho Kikwete katika
majina ya watu 5 wa mwisho watakaoteuliwa kuwania nafasi ya kugombe a urais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania eti jina lake lisiwepo.