Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
- Thread starter
-
- #21
Hakuna udhamini usiokuwa na faida. Akitoa hela ya usajiri hampigi kelele.
Kuna harufu ya wivu wa kibiashara.
Wewe ndio unafikira ndefu?Wabongo fikra zenu fupi unabaki unajiuliza swali mmja tu eti ukoachiwa timu!!! What a ****
Kwani mo kaachiwa timu au kawekeza kwa kufuata sheria
Hata akiondoka wawekezaji ni wengi
Kwani wewe Victor wa happy umeisaidiaje Simba SC?Mo tumeona alichokifanya,wewe je?Tuanzie hapo kwanza.
tupe hivyo vyanzo vya habariUnataka udhahidi gani dunia ya teknolojia unapata source ya habari kupitia vyanzo tofauti
Yule muhuni ni mpigaji tu
Unalazimisha ueleweke hata Kama huelewi na hueleweki. Kila la heri.Soma uelewe sio unacoment kama kipofu
Unalazimisha ueleweke hata Kama huelewi na hueleweki. Kila la heri.
Acha porojo.Tuambie wewe umeifanyia Simba kitu gani cha maana kumzidi Mo?Ndio maana pale juu nimesema vijana oya oya vijana wanaoenda kama mang'ombe wanapiga makofi kila wanachoambiwa
Talalila na majungu tuUsikute huyu mtoa post hajawahi kuisaidia Simba kwa lolote,isipokuwa kupiga tilalila tu.
Wekeza simba elfu 80 kama unazo mzee kilomoniAmeeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Mo anaidai simba, anavyo sajili na kutoa bonas klabu haina uwezo wa kulipa kwaiyo wanakatana juu kwa juu na viongozi wanafahamu. Mo anatoa pesa lakin klabu inalipia kwa matangazo ya bidhaa zake sasa kunashida gan? Dunia ya sasa hakuna cha bureAmeeendelea kuwadanganya viongozi wa Simba aliowaweka mfukoni!!!
Leo tena amesaini million 250 hewa kwa club ya Simba kwa kutangaza bidhaa zake na club ya Simba
Huyu magori anatumika na Mo kutaka kuibia Simba
Mo anatoa hela kwenye makaratasi ila pesa haiendi kwenye akaunti ya Simba
Mwaka Jana Mo alisema atatoa million 250 kwa ajili ya mwaka mmoja kuidhamini club lakini pesa hata robo haikutoka
Mwaka huu tena amesaini miaka miwili kuidhamini Simba miaka miwili kwa million 250 lakini pesa ya mwaka Jana haijatoka sisi tuliokuwa tunajua Mo ni tapeli toka mwanzo tulimkataa sasa tunaanza kuelewana
Huyu muhuni Mo akishirikiana na magori watatuchezea mpaka lini?
Kuna mashabiki oya oya yanamshangilia huyu muhindi tapeli IPO siku wataelewa
Kumbuku billion 20 hata dalili hamna
Ndio shida ya hii nchi kila mtu anajifanya mjuaji kwa kila kitu ni tatizo kubwa.Jamaa katoka kusikiliza clouds wanavojadili huku wao wakiwa hawajui chochote kinachoendelea, . hahahaha!! Kazi tunayo kwakweli , tafuteni source zenye uhakika na sio manenomaneno yasio na ukweli wowote!!
Wewe ndo huna ufahamu na mleta mada mwenzio, hivi mil 250 inaweza kutosha kujenga uwanja wa kisasa wa kufanyia mazoezi.Baadaye mtamuelewa mzee Kilomoni,msimu uliopita mlisaini na MO energy mil 250,mkatuambia mnaenda kujenga uwanja wa mazoezi,ila mbumbumbu fc mmesahau ahadi hiyo.
Siku moja mkipata ufahamu Mikia mtabaki midomo wazi maana hadi sasa kwa taarifa ya ndani MO anasema tayari ametumia billion 4
Mtaje huyo mjumbe ka kweli una uhakika,Ndio hivyo kuna wajumbe wabodi upande wa club wanalalamika kuna maamuzi yanafanyika bila wao kushirikishwa
Umewahi fika eneo la uwanja wasimba???? Kuna kazi hata ya million 60? Au unakurupuka tu hata uwanja hujui ulipoWewe ndo huna ufahamu na mleta mada mwenzio, hivi mil 250 inaweza kutosha kujenga uwanja wa kisasa wa kufanyia mazoezi.
Pili kabla ujapiga domo nenda saizi bunju uone kinachoendelea
Mi nimekwambia nenda Leo ukaone kinachoendelea sio kupiga porojo.Umewahi fika eneo la uwanja wasimba???? Kuna kazi hata ya million 60? Au unakurupuka tu hata uwanja hujui ulipo
Endelea kushangilia baadaye utaelewa.Mi nimekwambia nenda Leo ukaone kinachoendelea sio kupiga porojo.
Hivi simba ilikua na uwezo gani wa kifedha kufanya inayofanya saizi ka si uwekezaji wa MO.
Nawe pia endelea kuliaEndelea kushangilia baadaye utaelewa.
Kwaheri
Endelea kushangilia baadaye utaelewa.
Kwaheri