BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,045
- 10,476
Juzikati nilikuwa naumwa nikaenda hospital baada ya vipimo nikagundulika naumwa vitu kama vitatu malaria, typhoid na STD disease nikapewa dozi nilivyorudi geto baadhi ya watu walinipa pole na kutaka kujua nasumbuliwa nini.? Niliwaambia kama nilivyoambiwa hospital kasoro ugonjwa mmoja STD disease ambao niliufanya uwe siri yangu.. Sasa Leo nilikuwa nimetupa makasha ya dawa nje kwa bahati mbaya kuna bwege kaona.. time hii mtaa mzima wanajua kwamba nilikuwa naugua ugonjwa wa zinaa.
SHIT HAPPENS.
SHIT HAPPENS.