Uber wanasaidia mengiAtatoka manundu, aitishe uber tuu inamletea home delivery π.
Aahahhahahaaahahahaaa
Na wewe unawaelewa Forbyforbyforby Far...!!!? π
Hakika macho huwa hayashibi, na yakishiba mkono hutaka kuhakiki macho yameona sawia au yamekuwa kengeza...!???
Mkono ukisha hakiki hapo sasa na kichwa kinaamka na kuanza kugonga hodi.....ππππ
Uanamme kazi sana aahahahaha.
Huko sitafikaAahahahahahaa halahala
Usimalize sabuni...!!π
Eee Mola, nusuru kizazi changu na familia yangu...Habari za jumapili waungwana...
Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.
Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.
View attachment 1713549
Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...π machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh
Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko π .
Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi ππ
NB: picha kwa hisani ya Shift
Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani π.
Kasinde Mapenzi.
Eee Mola, nusuru kizazi changu na familia yangu...
Ama kweli, kifo hakina breki na wala shimo la panya halizibwi na kitumbua....
View attachment 1714918
Baaabuuuu aaahahhahahahahaaaa ππππππ
Na watu wote wasemeeee....
Aaaameeennn...!!! π
@Kasie
Ako na bei gani kwani? No free connectionNgoja Shift aje aweke mambo sawa.
Habari za jumapili waungwana...
Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.
Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.
View attachment 1713549
Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...π machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh
Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko π .
Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi ππ
NB: picha kwa hisani ya Shift
Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani π.
Kasinde Mapenzi.
Mfuasi mwingine wa @don nalimison