Kweli Gari Mbovu Husukumwa na Nzima

Kweli Gari Mbovu Husukumwa na Nzima

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,801
Reaction score
43,177
Habari za jumapili waungwana...

Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.

Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.

48821D8C-0C69-4594-A184-7A21FE9107DE.jpeg


Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...😜 machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh

Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko 😅.

Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi 😃😃

NB: picha kwa hisani ya Shift

Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani 😊.

Kasinde Mapenzi.
 
Habari za jumapili waungwana...

Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.

Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.

View attachment 1713549

Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...😜 machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh

Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko 😅.

Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi 😃😃

NB: picha kwa hisani ya Shift

Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani 😊.

Kasinde Mapenzi.
Ishasimama huku
 
Habari za jumapili waungwana...

Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.

Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.

View attachment 1713549

Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...😜 machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh

Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko 😅.

Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi 😃😃

NB: picha kwa hisani ya Shift

Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani 😊.

Kasinde Mapenzi.
Usiku huu mbaya.
Mbona tunachokozana
 
Habari za jumapili waungwana...

Ndio kumeshakucha saa hii na leo ni jumapili ya mwisho wa mwezi wa pili.

Kwa hiyo taswira hapo chini, nimeamini gari mbovu husukumwa na gari nzima.

View attachment 1713549

Huyo wa katikati anajua kuchenjua, bila kupiga ukope unaona mpaka kidaka mwiko...😜 machejo yamelala yanatolewa moja baada ya jingine aahahahahahaa looh

Hao wa pembeni hadi upekenyue pekechu pekechu ndo uone kidaka mwiko 😅.

Hapo gari lazima iwake hata kama plagi hazichomi 😃😃

NB: picha kwa hisani ya Shift

Pamoja na hayo, usiache kunawa kwa maji tiririka na uwahi ibadani 😊.

Kasinde Mapenzi.

Duuuh huyo aliyevaa Black ni shida suez canal kama yote.
 
Duuuh huyo aliyevaa Black ni shida suez canal kama yote.


Aahahhahahaaahahahaaa

Na wewe unawaelewa Forbyforbyforby Far...!!!? 😅

Hakika macho huwa hayashibi, na yakishiba mkono hutaka kuhakiki macho yameona sawia au yamekuwa kengeza...!???

Mkono ukisha hakiki hapo sasa na kichwa kinaamka na kuanza kugonga hodi.....😆😆😆😆

Uanamme kazi sana aahahahaha.
 
Akwende kuomba friend Match kwa jirani au muke ya Mwenyekiti au binti ya mwenye nyumba wakwe

Atatoka manundu, aitishe uber tuu inamletea home delivery 🚚.
 
Back
Top Bottom