Kware wanauzwa

Kware wanauzwa

Tumainiandy

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
430
Reaction score
91
Habari za leo.
Sasa kware wa wiki tatu wanapatikana kama unahitaji tafadhali piga number 0788-318671 bei yake ni Tshs 7,000/ kwa mmoja.

Karibu.
 
Ni moja ya nyama ambayo ni so lean haina mafuta kabisa na ni tamu sana hasa ukiwachoma wanakaauka vizuri ila kwa kuwa ndio watu wengi wanaanza kufuga nyama yake haijakuwa maarufu kama mayai na vilevile inatumika kama thickenner kwenye hotel za kitalii
 
Kama una uzoefu wa kufuga kuku wa nyama, mayai au hata kienyeji basi unaweza kuanza na vifaranga wa siku 1 hadi 3 wanapatikana kwa shilingi 3,000 bei inashuka kutegemea na idadi, nitumie number yako kwa PM
 
Kama unauzoefu na ufugaji vifaranga wa siku moja hadi tatu wanapatikana kwa gharama ya shilingi 2800 kwa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, tuwasiliane.
 
Ndugu naamini ungeanzisha Thread yako ungepata wateja wengi zaidi kuliko huku kuchomekea thread nyingine na mahitaji yako. Hii ni abuse ya nafasi uliopewa jamvini



Kama unauzoefu na ufugaji vifaranga wa siku moja hadi tatu wanapatikana kwa gharama ya shilingi 2800 kwa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, tuwasiliane.
 
Ndugu naamini ungeanzisha Thread yako ungepata wateja wengi zaidi kuliko huku kuchomekea thread nyingine na mahitaji yako. Hii ni abuse ya nafasi uliopewa jamvini

Acha kuwa selfish ndugu mchango wake na thread hii haujatoka nje ya topic, wewe unauza kware wa week tatu na yeye anuza kware wa siku moja - siku tatu, sasa kila mtu akianzisha thread za kuuza kware jukwaa hili silitajaa kware tuu.
 
Huo sio ubinafsi ila nikatika kuweka mambo sawa ndio maana ipo kwenye matangazo ya biashara, Hivi ilishawahi kuona kuwa kwenye tangazo mfano la makampuni ya simu ukaona vodacom halafu likachanganywa na Tigo likaishia na airtel, kama tangazo moja, ni ustaarabu wa kawaida na ni katika kuwa responsible. Jf hawajakueleza kuwa serve zao zimejaa wanataka haya matangazo. Soma masharti ya kutumia mtandao huu uone kama kitu kama hiki kinaruhusiwa.

Acha kuwa selfish ndugu mchango wake na thread hii haujatoka nje ya topic, wewe unauza kware wa week tatu na yeye anuza kware wa siku moja - siku tatu, sasa kila mtu akianzisha thread za kuuza kware jukwaa hili silitajaa kware tuu.
 
Ivi kware mbona namuona mdogo sanaa? Na labda anakitu anasaidia sanaa mwilini au nini anacho cha kipekeee??
 
Kwa kweli haya mambo ya kuangalia na kuona mbona huyu mdogo na mkubwa unategemea kuwa na faida kwenye vitu vidogo hatutegemei lakini aliyeviumba anajua ila sayansi imethibitisha kuwa mfano katika nutrient 78 za mayai ya kware 45 hazipo kabisa kwenye mayai ya kuku, na ndio hiyo inanipeleka mahali pa kujiuliza kwanini hivi Mungu aliamua kuwapa watu wake kware na sio kuku kama ilivyoainishwa kwenye Kutoka 16:13 na hakukuwa na hata mmoja dhaifu kati yao maana yake ni kwamba walikuwa wakipata chakula bora na kimojawapo tunachojua kati ya walivyokula ni kware.


Ivi kware mbona namuona mdogo sanaa? Na labda anakitu anasaidia sanaa mwilini au nini anacho cha kipekeee??
 
Kware bado wanapatikana kwa wanaohitaji wa wiki tano
 
Kware unaweza kuwafuga kama kuku ila hawatakiwi kuachiwa nje maana wanaruka kama ndege ila vilevile kuna watu wanawafuga kwenye cages ndogo ndogo maana ni wadogo sana kama grams250 mpaka 300.


samahani kware unafuga vipi? ukimwachia jioni anarudi bandani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom