komandokipensi
Member
- Apr 16, 2013
- 20
- 2
Kiwanja kipo mpiji mwisho (kwa kengega) kina meter 30*30, kipo karibu sana Barabara. Maongezi yapo
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
hatujajua unauza nini hasa. Kama ni kwanja, kamwe aliwezi kuwa bei hiyo.
mkono uliteleza mkuu sio nane ni nne.hatujajua unauza nini hasa. Kama ni kwanja, kamwe aliwezi kuwa bei hiyo.
Kiwanja kipo mpiji mwisho (kwa kengega) kina meter 30*30, kipo karibu sana Barabara. Maongezi yapo
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
ni eneo la makazi mkuu.Mkuu hilo eneo lina matumizi gani kwenye ramani ya mipango miji?
Usije kuta ni indusrtial area halafu unaweka makazi ya watu.
Kama sijakosea itakuwa Kibamba mwisho halafu unaingia ndani sana njia ya kutokea TEGETA karibu kabisa na kule kunakojengwa chuo cha Arnautoglukwani ni wapi huko mkuu,ni kule mbezi beach au???........ilitakiwa iwe juu ya hapo au chini ya hapo?
Hakiko juu ya bomba kubwa la maji?Kiwanja kipo mpiji mwisho (kwa kengega) kina meter 30*30, kipo karibu sana Barabara. Maongezi yapo
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
hapana mkuu, kiko sehemu nzuri tu, hakiko juu ya bomba wala ndani ya hifadhi ya barabara. unaweza kuja kukionaHakiko juu ya bomba kubwa la maji?
hapana mkuu, kiko sehemu nzuri tu, hakiko juu ya bomba wala ndani ya hifadhi ya barabara. unaweza kuja kukiona
Unaweza kutuwekea google map yake?