matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,652
- 15,473
Dubu ni mnyama ambaye ukikaribia wakati wa baridi Kali, hula Chakula na kunenepa na anaweza kukaa hata mwezi bila kula wakati huo akitumia Akiba za Mafuta mwilini mwake.
Nashangaa vibonge wengi nilitegemea wawe wazembe kwenye kula. Ikiwezekana wapitishe hata siku mbili kavu bila kutetereka.
Mfano unakuta mtu anakilo 100. Ktk hizo Lita kama 5o ni Mafuta. Mafuta hayo ni Chakula cha Akiba lkn wengi ni walafi, wananjaa muda mwingi, wanakula mno tena vitu wasivyotakiwa kula.
Mfano
Kuna Bonge mmoja ukimpa kilo tano za kitimoto dakika 10 anafuta.
Kuna wazungu mabonge niliwaona mbuzi mzima anaweza kufutwa na watu watatu tu.
Je, Tatizo ni nini? Sensa za misosi huwa zinakata?
Nashangaa vibonge wengi nilitegemea wawe wazembe kwenye kula. Ikiwezekana wapitishe hata siku mbili kavu bila kutetereka.
Mfano unakuta mtu anakilo 100. Ktk hizo Lita kama 5o ni Mafuta. Mafuta hayo ni Chakula cha Akiba lkn wengi ni walafi, wananjaa muda mwingi, wanakula mno tena vitu wasivyotakiwa kula.
Mfano
Kuna Bonge mmoja ukimpa kilo tano za kitimoto dakika 10 anafuta.
Kuna wazungu mabonge niliwaona mbuzi mzima anaweza kufutwa na watu watatu tu.
Je, Tatizo ni nini? Sensa za misosi huwa zinakata?