Kwanini wanawake wengi wana mtazamo hasi kuhusu wanaume wa Mara?

Invigilator

JF-Expert Member
Aug 16, 2016
3,207
5,990
Salaam Wakuu,

Kuna changamoto kubwa sana tunayokutana nayo katika Mahusiano sisi watu tunaotok Mara,unapata mwanamke mnaelewan,lakini inatokea pindi anapohitaj kukujua zaid kuhusu origin yako, na wew unakuta umempenda kwa dhati hutaki kumdanganya, unamwambia May be Mimi natokea Mara kabila ni Mjita, Mkurya, Mjaluo, mzanaki, Mluli nk, Demu anabadilika kabisa anakoswa AMANI anaanza kukaa na Wewe kwa machale utadhan we ni simba au alshabab,Kwann?

My take:
Wanawake watu wa Mara tunahitaj kutreatiwa kama watu wengine plz acheni hizo bhana!!..
Wasalam.
 
Kusikia wanawake wa Mara umenikumbusha kabila moja huko mkoani Mara liitwalo Wajita. Hawa si kwamba wanapiga waume zao lakini wana sifa hizi. Wanafiki, waongo, wambeya, waseng'enyaji wakubwa katika Bara la Afrika, sijui mabara mengine. Ili uishi salama na kwa amani na mwanamke wa Kijita, labda uishi kwenye kisiwa peke yako na huyo mkeo wa Kijita, ni balaa jamani!!!!! Mwanamke wa Kijita, hiyo ni Amka na BBC!
 
binafsi sishabikii sana mambo ya makabila ila hawa wa Mara huwa nawaogopa haswa linapokuja suala la mahusiano.
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
sio mkabila kiivo ila mnapiga sana nyie,,,,, mnamcontrol mke km mbuzi
.. mawifi na mashemeji ndo balaa hata ukijamba ni gumzo ukoo mzima hivo unaishi attention mda wote,, ila ukiwa ndo unaanza kupendwa utaoneshwa kila aina ya ufahari wa AMANI kwenye familia ngoma nzito ushakuwa jiko utajuta........ hukanyagi kwa majirani hushiriki vyama na michanganyiko ya kijamii kwaajili ya hadji ya familia yenu.. ukichelewa kurudi hom bahati mbaya mume anaenda kusitisha mkataba wa ajira ubaki unalea watoto ndani.. yaani wao hawatakagi kitu kinachoitwa bahati mbaya......
makofi / mijeredi ni kawaida sana kwao huanza pale ukishazaa watoto km w2 ivi n.k
 
Mambo?

Uongo mtupu.

Hatuna ukatili wowote.

Sema hatutaki dharau tu.
asilimia 90 makatilili!

waheshimiwe,wapendwe ndo hvyoo walivyo!

wapo decent pia Ila wachache sana!

Kwa watu wangu wa karibu hakuna Mwenye ndoa na mkurya yenye furaha!
 
Back
Top Bottom