Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 895
- 2,218
SenzoBy the way, if you need a shoulder to cry, i will be there
Pole sana kwa yaliotokea sema pia kua makini na male best friend,
Nimeone umesema " hasa ukiwa beautiful " , Mwisho wa siku mtakulana na huyo male,
Km umeolewa, make your man best friend, wengine asilimia kubwa ni mafisi, watakutafuna,
Asili ya kimaumbile....Yani wanawake wengi tena haswa awa wanajiita ma BBF ndo kabisa, mtu anatoa habari za huyu anapeleka kwa mwingine Alaf anajifanya oh my babe I always got your back kumbe unafki mtu akiwa pembeni anakuponda na kuanika mambo yako.
Ukiachana na hili unaweza ukawa umependeza ukaenda sehemu or hata kazini unakuta wanawake wanaanza kukuchukia gafla tu bila sababu na ukimuuliza kwann unamchukia yule hana sababu za msingi, uki mind your own business wanaanza umbea kukuongelea mara anaringa mara hivi. Na especially ukiwa your beautiful, unajipenda na huna mambo yake ya kushobokea watu ndo kabisaa.
Yani Mimi honestly Naona bora wanaume they got each other’s back ( japo sio wote) Ila most of them and huwakuti wakiongea habari za mwanaume mwenzao especially ikiwa very personal. Na ndo maana urafiki wao unadumu mpaka wanakua kama familia.
From now onwards I will be having only male friends [emoji19][emoji19].
Halafu hii tabia ya kike baadhi ya wanaume wameanza kuwa nayo, kuna vijiwe wapo vijana wa ovyo kabisa.
Beta males[emoji1787]Halafu hii tabia ya kike baadhi ya wanaume wameanza kuwa nayo, kuna vijiwe wapo vijana wa ovyo kabisa.
Asili ya kimaumbile....
Si wa leo hata wa kale kupitia vitabu.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]If you only allow it Ndio atakukula but if you don’t hawezi
Already ordained in genome....no one can change that...ain't psychological therapy or counseling....It’s very sad [emoji17]
Already ordained in genome....no one can change that...ain't psychological therapy or counseling....
Yesterday "kilingeni kwangu" happened to talk with a middle aged woman and confessed not having a female friend....puzzled but at the end I came to understand the reasons....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakika [emoji106]Yani atleast mwanaume hawezi ku put out there your personal business kwa watu wengine
Mmh itabidi niwe cautious kwenye kuchagua my male friends
Hapo kwenye from now onwards ndio utakapokuja kujua hujui.Yani wanawake wengi tena haswa awa wanajiita ma BBF ndo kabisa, mtu anatoa habari za huyu anapeleka kwa mwingine Alaf anajifanya oh my babe I always got your back kumbe unafki mtu akiwa pembeni anakuponda na kuanika mambo yako.
Ukiachana na hili unaweza ukawa umependeza ukaenda sehemu or hata kazini unakuta wanawake wanaanza kukuchukia gafla tu bila sababu na ukimuuliza kwann unamchukia yule hana sababu za msingi, uki mind your own business wanaanza umbea kukuongelea mara anaringa mara hivi. Na especially ukiwa your beautiful, unajipenda na huna mambo yake ya kushobokea watu ndo kabisaa.
Yani Mimi honestly Naona bora wanaume they got each other’s back ( japo sio wote) Ila most of them and huwakuti wakiongea habari za mwanaume mwenzao especially ikiwa very personal. Na ndo maana urafiki wao unadumu mpaka wanakua kama familia.
From now onwards I will be having only male friends [emoji19][emoji19].
Kwa sababu mna wivu uliopitiliza na mumeumbwa kuwa na Ligi baina yenu mda wote na wakati wowote.Yani wanawake wengi tena haswa awa wanajiita ma BBF ndo kabisa, mtu anatoa habari za huyu anapeleka kwa mwingine Alaf anajifanya oh my babe I always got your back kumbe unafki mtu akiwa pembeni anakuponda na kuanika mambo yako.
Ukiachana na hili unaweza ukawa umependeza ukaenda sehemu or hata kazini unakuta wanawake wanaanza kukuchukia gafla tu bila sababu na ukimuuliza kwann unamchukia yule hana sababu za msingi, uki mind your own business wanaanza umbea kukuongelea mara anaringa mara hivi. Na especially ukiwa your beautiful, unajipenda na huna mambo yake ya kushobokea watu ndo kabisaa.
Yani Mimi honestly Naona bora wanaume they got each other’s back ( japo sio wote) Ila most of them and huwakuti wakiongea habari za mwanaume mwenzao especially ikiwa very personal. Na ndo maana urafiki wao unadumu mpaka wanakua kama familia.
From now onwards I will be having only male friends [emoji19][emoji19].