Jua tu hayo ni maumbile ya asili ya mwanaume ujiulize tu kwanini hawa tunaoita waziri hapa kwetu hawaolewi na wakiolewa hawamalizi miaka mitatu,fahamu pia uzuri wa mwanamke ukiwa haujamvua nguo ukishamvua ndani ya miezi mitatu thamani haipo ndio maana tunahitaji mwingine