GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,551
- 108,888
Kuna Dada ( Binti ) Mmoja mwanzo nilikuwa nafurahia 'alivyokomeshwa' na Mwanamama aliyeibiwa nae 'Mumewe' ila si Siri kwa sasa Imani ya 'Huruma' imeniingia juu yake kwani huyu Binti (Dada) ambaye ni 'Mwizi' wa 'Mume' wa Mtu 'amerogwa' kiasi kwamba Yeye 24/7 tu 'anablidi' na sasa bora basi hata hiyo 'blidi' yenyewe itoke kidogo kwani inatoka kama vile Bwawa la Mindu limevunja Kingo zake na sasa Maji 'yanafurika' vibaya na 'Kuwadhuru' Wakaazi wa Maeneo Jirani.
Jamani kuna Watu wanajua 'Kuroga' vibaya hapa duniani Kudadadeki. Ila na nyie Wadada ( Mabinti ) acheni tu 'Mrogwe' kwani mnataka wenyewe.
Jamani kuna Watu wanajua 'Kuroga' vibaya hapa duniani Kudadadeki. Ila na nyie Wadada ( Mabinti ) acheni tu 'Mrogwe' kwani mnataka wenyewe.