Kwanini Waarabu Wanamtetemekea sana King Charles III wakati hawa ndio wamewapa Israel ile Ardhi inayogombewa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,030
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema 😄
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema 😄
wafalme kwa wafalme ndivyo walivyo.
Wanaheshimiana sana
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema
Waarabu wala hawataki kuwasikia hao magaidi wa kifilsti.
 
Sasa kama hiko cheo cha malkia/King kina weza kuvunja sheria nying za nchi mbalimbali duniani na asipatwe na shida

Kama kuendesha gari bila leseni ktk nchi mbalimbali, na ina wezekana hana ata passport

Ila wewe rais wako hawezi vunja hizo sheria ktk nchi zao!

As the British monarch, King Charles will not require a British passport to travel internationally. This is because, according to the Royal Family's website which has not been updated since the Queen's death, “a British passport is issued in the name of Her Majesty, it is unnecessary for The Queen to possess one.”


Paying taxes​

Under the Sovereign Grant Act of 2011, the King is not “legally liable to pay income tax, capital gains tax, or inheritance tax because the relevant enactments do not apply to the Crown.” The same rule applies to the income from the Duchy of Cornwall, which Prince William owns.

Etc
 
Waarabu wala hawataki kuwasikia hao magaidi wa kifilsti.
Hayo ya kwako waarabu wote na wapenda haki wote hadi wazungu wameungana kuwatetea palestine, unajua nani kasimamia hii ceasefire? Unajua kwamba European union ndio number one donor wa palestine ? Na unajua kwamba saudi arabia kwa mara ya kwanza kampigia simu iran kitendo ambacho kimeiudhi hadi marekani maana walishakubaliana afanye nirmalization na israel in exchange for defence and security vitu ambavyo tangi vita ya gaza ianze saudi arabia katupilia mbali
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema
Na iwe njema kwako pia. Unasalia wapi leo?
 
Kwa iyo maisha yasiendelee kisa vita ya hamas na israel?. Hivi hujui Jerusalem wanaishi wapalestina na waisrael kwa amabi kabisa, na kuna wapalestina wengi wanafanya kazi israel mpaka muda huu wa vita?
 
Bila UK hao wafalme fake hawawezi kuwepo,

UK ndio alisuka mipango ya kutengeneza falme za kiarabu karibia zote.

Ulinzi
Uchumi
Ndio maana hawana huwezo wakuisaidia Palestina. Sababu ulinzi wao wenyewe unategemea UK na USA.

Na Israel ni mali ya UK na USA Kulinda maslahi yao middle east.
 
Hayo ya kwako waarabu wote na wapenda haki wote hadi wazungu wameungana kuwatetea palestine, unajua nani kasimamia hii ceasefire? Unajua kwamba European union ndio number one donor wa palestine ? Na unajua kwamba saudi arabia kwa mara ya kwanza kampigia simu iran kitendo ambacho kimeiudhi hadi marekani maana walishakubaliana afanye nirmalization na israel in exchange for defence and security vitu ambavyo tangi vita ya gaza ianze saudi arabia katupilia mbali
Usidanganyike au pengine hujafuatilia.

Saudi Arabia ni adui wa Iran kwa miaka mingi, uliosababisha mwaka 2016 kufunga ofisi zao za ubalozi rasmi, na kufuta kabisa mahusiano yoyote baina ya nchi hizi mbili.

What is the conflict between Iran and Saudi?

In what has been described as a new cold war, the conflict is waged on multiple levels over geopolitical, economic, and sectarian influence in pursuit of regional hegemony. The rivalry has drawn comparisons to the dynamics of the Cold War era.

Baada ya jitihada za muda mrefu, nchi hizi mbili mwaka huu 2023, March 10 ndipo rasmi walifungua ofisi zao za ubalozi tena, na kurudisha mahusiano.

Under the new agreement both countries agree to respect the other's sovereignty and not interfere in the internal affairs of the other. Following the reconciliation deal, Iranian President Ebrahim Raisi favourably received an invitation from Saudi Arabia's King Salman to visit the kingdom on 19 March 2023, but never did until November 2023.

Israel, haijawahi kutaka kuwa na mahusiano ya kibalozi na mataifa ambayo mwaka 1947 yalipinga kuanzishwa kwa taifa la Israel. Lakini taratibu mataifa hayo, yamekuwa yakitaka kuwa na uhusiano wa kibalozi na Israel baada ya kuikana misamamo yao ya mwaka 1947.

Siku za karibuni Saud Arabia na UAE nao wametaka kuwa na uhusiano na Israel kwa ushawishi/upatanishi wa Marekani. Usidhani ni Israel ndiyo inayopigania kuwa na uhusiano na Saud Arabia, bali ni takwa la pande zote mbili.

Why Saudi Arabia and UAE want to keep links with Israel?

First, it wants to undercut Hamas. Second, it wants to avoid a broader confrontation with Iran. 22 Oct 2023

Kilichowaunganisha zaidi Saud Arabia na Israel, ni kutoipenda kabisa Hamas na makundi mengine ya kigaidi yanayofadhiliwa na Iran.

Ufahamu kuwa hakuna sehemu yoyote Duniani, ambako watu wengi wamekuwa wakiuana wenyewe kwa wenyewe, kama Mashariki ya kati. Mwaka 2021 pekee, watu waliopoteza maisha kutokana na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kwenye eneo hili ni zaidi ya laki 2. Hakuna jamii iliyokuwa disorganized kama Waarabu, ndiyo maana Gadafi alisema aheri aungane na Waafrika kuliko Waarabu.

Wamemkataa Bwana wa Amani, basi automatically wamemchagua bwana wa upanga.
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema
sio kumtetemekea ndio itifaki zilivyo
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema
John sitaki kuamini kama kweli wewe ngozi nyeusi. Tangu lini wewe matatizo ya Congo, Sudan kusini, Africa ya kati nk yakagusa? Iweje uwalazimishe Waarabu wote waguswe na kinachotokea Palestina?. Hili ndilo tatizo letu Waafrika, yakimpata mtu mweusi tunamwacha afe peke yake, lakini kwa races nyingine tunajitia kimbelembele kuliko wahusika wenyewe.!!
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema
KWANI UJUI KUWA WAISIHARAMU WA KIARABU NAO HAWANA AKILI
 
Nimeshuhudia mapokezi ya King Charles III huko Dubai kwenye mkutano wa Tabia Nchi, hakika Waarabu ni Watu wa kujipendekeza na Ndumilakuwili sana

Yaani Viongozi wa UAE walikuwa wanagombania kubusu Mikono ya Charles III

Kiukweli kama Hamas walikuwa wanawategemea hawa basi wamekwisha!

Historia inasema Uingereza imewahi Kutawala huko Palestine

Sabato Njema 😄
Wahenga walisemaga Siri ya mtungi aijuae ni kata !!
Ipo siri yao wanaijua wenyewe vibopa !!
Wengineo yao ni macho na masikio tu !!😅😅🙏
Duniani kuna mambo mengi !! Yanayojulikana na yasiyojulikana !!
Colonial Masters ni lazima waheshimiwe maana wanazo siri nyingi walizozihifadhi !!
Ukishupaza shingo itavunjika 😅😅🙏🙏 !
 
Sasa kama hiko cheo cha malkia/King kina weza kuvunja sheria nying za nchi mbalimbali duniani na asipatwe na shida

Kama kuendesha gari bila leseni ktk nchi mbalimbali, na ina wezekana hana ata passport

Ila wewe rais wako hawezi vunja hizo sheria ktk nchi zao!

As the British monarch, King Charles will not require a British passport to travel internationally. This is because, according to the Royal Family's website which has not been updated since the Queen's death, “a British passport is issued in the name of Her Majesty, it is unnecessary for The Queen to possess one.”


Paying taxes​

Under the Sovereign Grant Act of 2011, the King is not “legally liable to pay income tax, capital gains tax, or inheritance tax because the relevant enactments do not apply to the Crown.” The same rule applies to the income from the Duchy of Cornwall, which Prince William owns.

Etc
Sasa hapo ni nani mwingine anaweza kushupaza shingo ??!
 
Back
Top Bottom