Kwanini Uingereza inataka kujitoa umoja wa Ulaya?

Kwanini Uingereza inataka kujitoa umoja wa Ulaya?

Im not sure

Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
36
Reaction score
25
Uingereza ina nini au imekwazwa na nini?
IMG-20180907-WA0009.jpg
 
Pamoja na Mambo mengine lakini pia wanaona Sheria za EU zinaruhusu wageni toka nchi zingine kuja kufanya kazi UK. wanaona itakuwa nI kimbilio kwa nchi nyingi za EU kuja UK.
Pi Mambo ya kibiashara yanachangia.
 
Uingereza ina nini au imekwazwa na nini?View attachment 1225139
Sababu kubwa ni uchumi,ukiiondoa German,UK ni nchi yenye uchumi mkubwa kuriko zote ulaya,sasa kwenye EU,wao UK wanaona kwamba,wanachangia kikubwa sana kuriko wengine,kiasi kwamba wananchi wengine wa Ulaya wamekimbilia UK kutafuta maisha,na ajira.
Sasa wanaona bora wakae pembeni,wajitegemee,kama alivyo USA katika America.
 
Uingereza waliingia wakakaa back seat. Hawakutaka kuongoza juhudi za kuungana. Sasa muungano umeiva, inawaona wanaoiongoza jumuiya ni wafaransa na wajerumani, huku uingereza ikiwa kama shabiki pamoja na nchi nyingine nyingi zilizojiunga.

Uingereza akashawishiwa na marekani kuwa akijitoa atamlinda kibiashara, naye kakubali. Kaona marekani kutamu zaidi ya ulaya. Uingereza ni moja ya nchi zinazotawaliwa bado na colonial mentality.

Wakishasambaratika kabisa kiuchumi na kitaifa kwa kutengana vinchi vidogo vidogo watajuta kwanini walijitoa.
 
Sababu ni kuwa mafahali wawili hawakai zizi moja
Anahisi EU ni mradi wa upigaji wa Germany and france
 
Back
Top Bottom