lil wayne JF-Expert Member Joined Apr 15, 2016 Posts 992 Reaction score 905 Oct 25, 2016 #1 Mfumo wa udahili wa wanafunzi wanaoomba nafasi ya kujiunga na chuo kikuu umefungwa. Vijana bado wako kwenye mchakato wa kuomba nafasi lakini kuanzia leo jioni system imepotea kabisa hewani, ukizingatia deadline ni tar 26/10/16 saa 5:59 usiku. http://41.93.31.137:8080/noas // http://cas.nacte.go.tz/
Mfumo wa udahili wa wanafunzi wanaoomba nafasi ya kujiunga na chuo kikuu umefungwa. Vijana bado wako kwenye mchakato wa kuomba nafasi lakini kuanzia leo jioni system imepotea kabisa hewani, ukizingatia deadline ni tar 26/10/16 saa 5:59 usiku. http://41.93.31.137:8080/noas // http://cas.nacte.go.tz/
Fraterine Mireni Member Joined Sep 7, 2016 Posts 97 Reaction score 65 Oct 25, 2016 #2 Mbona ipo hewan mkuu
A adzo 1 Member Joined Jul 14, 2016 Posts 72 Reaction score 39 Oct 25, 2016 #3 cku nne zimeisha ukiona hivo
kat.ph JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 2,222 Reaction score 1,679 Oct 26, 2016 #4 Sijui kwanini watu husubiri deadline
S smith smith Member Joined Sep 27, 2016 Posts 34 Reaction score 3 Oct 26, 2016 #5 System iko open aisee kwa degree tuu
Jason18 Member Joined Oct 6, 2016 Posts 52 Reaction score 33 Oct 26, 2016 #6 wakuu kuna vyuo vimetoa 4th round waliochaguliwa mfano st.john asa hii inakuwaje 4th inatoka kabla ya deadline haijafka?
wakuu kuna vyuo vimetoa 4th round waliochaguliwa mfano st.john asa hii inakuwaje 4th inatoka kabla ya deadline haijafka?
G gadi alex Member Joined Sep 29, 2016 Posts 74 Reaction score 27 Oct 26, 2016 #7 Mkuuu hao waliomba 3rd ko majina yao yaliwekwa bench kusubil 4th round
G GOD 66 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2015 Posts 628 Reaction score 270 Oct 26, 2016 #8 CLEY MCHOMVU said: wakuu kuna vyuo vimetoa 4th round waliochaguliwa mfano st.john asa hii inakuwaje 4th inatoka kabla ya deadline haijafka? Click to expand... we ka umechagulia wah quiz
CLEY MCHOMVU said: wakuu kuna vyuo vimetoa 4th round waliochaguliwa mfano st.john asa hii inakuwaje 4th inatoka kabla ya deadline haijafka? Click to expand... we ka umechagulia wah quiz
G gadi alex Member Joined Sep 29, 2016 Posts 74 Reaction score 27 Oct 26, 2016 #9 Ukiona inazingua kuadd program juwa umechaguliwa tayar fatilia vyuo ulivyojaza!
Jason18 Member Joined Oct 6, 2016 Posts 52 Reaction score 33 Oct 27, 2016 #10 GOD 66 said: we ka umechagulia wah quiz Click to expand... sijachaguliwa ila maajabu vyuo nlivoomba kabla ya deadline wametoa 4th round selected.hapo ndo sielewi how na cjachaguliwa
GOD 66 said: we ka umechagulia wah quiz Click to expand... sijachaguliwa ila maajabu vyuo nlivoomba kabla ya deadline wametoa 4th round selected.hapo ndo sielewi how na cjachaguliwa
G GOD 66 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2015 Posts 628 Reaction score 270 Oct 27, 2016 #11 CLEY MCHOMVU said: sijachaguliwa ila maajabu vyuo nlivoomba kabla ya deadline wametoa 4th round selected.hapo ndo sielewi how na cjachaguliwa Click to expand... vigezo unavo dd na gpa ya 3 mana wapo walioomb uku awana sifa awajachaguliwa wahi nacte upewe diploma
CLEY MCHOMVU said: sijachaguliwa ila maajabu vyuo nlivoomba kabla ya deadline wametoa 4th round selected.hapo ndo sielewi how na cjachaguliwa Click to expand... vigezo unavo dd na gpa ya 3 mana wapo walioomb uku awana sifa awajachaguliwa wahi nacte upewe diploma