Kwanini Tanzania haiwezi kuendelea

mafimboo

JF-Expert Member
Oct 9, 2014
2,415
976
maskini nchi yangu kwanini huendelei licha ya kuzungukwa na malighafi za kila namna ,mbuga za wanyama,gesi,madini na n.k,ghafla nikakumbuka hadithi ya watoto mapacha waliorithishwa mali na baba yao,Doto alirithishwa shamba na kurwa alirithishwa jembe ,badala ya kushirikiana walime ,kila mmoja akaanza kujiona bora kuliko mwezie,doto hakutaka kutumia jembe la kurwa hata kumruhusu kurwa alime shambani mwake na kurwa hakupenda kulilima shamba la kurwa hata kumuazima jembe doto alimie ,chuki baina yao ilizidi kuwa kubwa licha ya kupewa usiwa na baba yao wa kupendana,mwishoni shamba liliota mbigiri na vichaka na jembe likapata kutu na kuharibika,hadithi hii ikanikumbusha utawala wa awamu ya tano wa tz & wapinzani,wahenga walisema nyota njema huonekana asubuhi,kipaumbele cha kwanza cha serikali ikawa kupambana na wapinzani na silaha ya kwanza ni kuzima matangazo ya bunge ili wasionekane wakiiumbua serikali,wapinzani wakagoma wakanzisha vurugu,silaha ya pili ikawa ni kuwaminya bungeni wasitoe hoja zenye mashiko wapinzani wakamua kutoka nje ya bunge,silaha ya mwisho na mbaya zaidi ni kuwafunga midomo na kuwapeleka mbele ya pilato kwa kila neno watakalo lionge likiwa haliwafurahishi watawala ,miaka yote itakuwa ni kupambana na wapinzani badala ya kuhangaika na maendeleo ya nchi na rasilimali tulizonazo,hivi watawala hawajifunzi kutoka nchi za ulimwengu wa kwanza ,unaingia madarakani na kuanzisha vita na wapinzani ndilo wananchi tulilokutuma,wananchi hatukuwatuma kuzima matangazo ya bunge tumewatuma maendeleo,KWA DALILI HIZI NCHI HAIWEZI KUENDELENDELEA HATA KWA MACHOZI, Duniani koteserikali inayojikita kwenye kupambana na wapinzani na kuwa kaidi na kali HAIWEZI KULETA MAENDELEO
 
Wosia mzuri lakini kwa hulka zao hawataupokea. Watakuja na kejeli za hapa kazi tu. Tulilishawahi kulishwa maisha bora kwa kila Mtanzania. Ikawa asubuhi, ikawa jioni, ikawa asubuhi tena ikawa jioni, miaka kumi ikaisha. aaaaaaaaaaHali ni mbaya kulika miaka kumi iliyopita. Sasa hapa ni kazi tu. Sasa ni asubuhi , itakuja jioni, na maisha yataendelea. Huwezi kuleta maendeleo kwa kubagua watu kwa misingi yeyote iwayo. Ubaguzi unajenga chuki na hatimaye maasi, mwisho amani inatoweka. Hamna maendeleo.
 
maskini nchi yangu kwanini huendelei licha ya kuzungukwa na malighafi za kila namna ,mbuga za wanyama,gesi,madini na n.k,ghafla nikakumbuka hadithi ya watoto mapacha waliorithishwa mali na baba yao,Doto alirithishwa shamba na kurwa alirithishwa jembe ,badala ya kushirikiana walime ,kila mmoja akaanza kujiona bora kuliko mwezie,doto hakutaka kutumia jembe la kurwa hata kumruhusu kurwa alime shambani mwake na kurwa hakupenda kulilima shamba la kurwa hata kumuazima jembe doto alimie ,chuki baina yao ilizidi kuwa kubwa licha ya kupewa usiwa na baba yao wa kupendana,mwishoni shamba liliota mbigiri na vichaka na jembe likapata kutu na kuharibika,hadithi hii ikanikumbusha utawala wa awamu ya tano wa tz & wapinzani,wahenga walisema nyota njema huonekana asubuhi,kipaumbele cha kwanza cha serikali ikawa kupambana na wapinzani na silaha ya kwanza ni kuzima matangazo ya bunge ili wasionekane wakiiumbua serikali,wapinzani wakagoma wakanzisha vurugu,silaha ya pili ikawa ni kuwaminya bungeni wasitoe hoja zenye mashiko wapinzani wakamua kutoka nje ya bunge,silaha ya mwisho na mbaya zaidi ni kuwafunga midomo na kuwapeleka mbele ya pilato kwa kila neno watakalo lionge likiwa haliwafurahishi watawala ,miaka yote itakuwa ni kupambana na wapinzani badala ya kuhangaika na maendeleo ya nchi na rasilimali tulizonazo,hivi watawala hawajifunzi kutoka nchi za ulimwengu wa kwanza ,unaingia madarakani na kuanzisha vita na wapinzani ndilo wananchi tulilokutuma,wananchi hatukuwatuma kuzima matangazo ya bunge tumewatuma maendeleo,KWA DALILI HIZI NCHI HAIWEZI KUENDELENDELEA HATA KWA MACHOZI, Duniani koteserikali inayojikita kwenye kupambana na wapinzani na kuwa kaidi na kali HAIWEZI KULETA MAENDELEO
Mbona Misri waliendelea enzi ya Gaddafi, leo wameleta uharo wa demokrasia, iko wapi sasa? Mbona Rwanda hakuna ujinga wa huu uharo na nchi inaendelea, ama mnalingana? Unafikiri kwa Mgabe kama siyo hawa wazungu matapeli chini ya uingereza leo ingebakia unavyoiona, si mnamuita yule mzee dikteta? Maendeleo si ishu ya chama, na ni mara mia uzalendo kuliko vyama vya siasa. Ungesemea uzalendo ningekuelewa lakini si huu upuuzi mlioletewa eti domogasia.
 
Mbona Misri waliendelea enzi ya Gaddafi, leo wameleta uharo wa demokrasia, iko wapi sasa? Mbona Rwanda hakuna ujinga wa huu uharo na nchi inaendelea, ama mnalingana? Unafikiri kwa Mgabe kama siyo hawa wazungu matapeli chini ya uingereza leo ingebakia unavyoiona, si mnamuita yule mzee dikteta? Maendeleo si ishu ya chama, na ni mara mia uzalendo kuliko vyama vya siasa. Ungesemea uzalendo ningekuelewa lakini si huu upuuzi mlioletewa eti domogasia.
Misri na Gaddafi?
 
Mbona Misri waliendelea enzi ya Gaddafi, leo wameleta uharo wa demokrasia, iko wapi sasa? Mbona Rwanda hakuna ujinga wa huu uharo na nchi inaendelea, ama mnalingana? Unafikiri kwa Mgabe kama siyo hawa wazungu matapeli chini ya uingereza leo ingebakia unavyoiona, si mnamuita yule mzee dikteta? Maendeleo si ishu ya chama, na ni mara mia uzalendo kuliko vyama vya siasa. Ungesemea uzalendo ningekuelewa lakini si huu upuuzi mlioletewa eti domogasia.
ni kweli unachosema lakini iikuwa zamani dunia ya leo haiwezekani
 
Back
Top Bottom