matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,585
- 15,366
Wakuu hata kama hainihusu, na sio mteja ila nimepita hizi stendi mara kadhaa hasa mida ya jioni nimegundua hayo.
najiuliza sababu ni nini?
Kumbe wapanda daladala nao wana matabaka ya ununuzi wa bidhaa au ni mkakati wa wamiliki wa hizo stand?
Chanzo na sababu nini? pamoja na ukwere wangu wote hili nimetoka kapa aisee.
najiuliza sababu ni nini?
Kumbe wapanda daladala nao wana matabaka ya ununuzi wa bidhaa au ni mkakati wa wamiliki wa hizo stand?
Chanzo na sababu nini? pamoja na ukwere wangu wote hili nimetoka kapa aisee.