Kwanini sikupiga bao mapema?

ni kweli kabisa
 
Badilika mkuu! Sasa ndani ya dakika 5 umepiga bao
Wanaume wengi wapo hivyo haizidi dk 5 kapiga bao la kwanza acha kumzingua mwenzako
 
Baharia angalia utakujwa kukusodomola na kugogomola acha kwenda kwenye mageto ya kina dada
 
Duuu ngoja nirudi tena Twitter.naharibika kiwango cha ufikili
 
Duuu ngoja nirudi tena Twitter.naharibika kiwango cha ufikili
Baki huku ila tafuta jukwaa mahususi... Ila akili yako ilikutuma jukwaa hili maana ndo nature yako may be...

"Ufikili" = Kufikiri
 
Wavu wa mvuvi huu, usharushwa sasa wasubiriwa samaki wataonasa...
 
Kwani ukisema jamaa wa mlangoni amekulamba mdomo wa chupa unaogopa, usijali . Si ajabu kupigwa goli ugenini. Hiyo ni home away match
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…