nyie endeleeni na matangazo yenu labda yanasaidia. kwa upande wangu, huwa sioni shida yoyote kusema humu kuwa bao langu la kwanza, nikiwa pekupeku, huchukua kati ya sekunde 40 hadi dakika 1: linalofuata huchukua kati ya dakika 7 hadi 10. nikiwa natumia mpira basi la kwanza ni kati ya dakika 1 hadi 2 na linalofuata nikati ya dakika 10 hadi 15. kama nina matatizo basi potelea mbali lakini mwenyewe nainjoi na wapo tu wanaong'ang'ana niwaoe.....sina hata hela ya kuwavutia