Kwanini Ndugai hakufungwa wakati alisababisha vurugu?

Majighu2015

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
2,936
3,959
Kampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?

Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.
 
Kampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?

Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.
"ukiona maadui wako wanalalamika, ujue umewatwanga...ukiona wanakusifia, ujiulize mara mbili umeteleza wapi"
Huyo ni mkuu wa kaya, ambaye kwake wapinzani ni maadui. kwa hiyo tutarajie mbinyo mkali zaidi, na "kutwangwa zaidi"
 
labda tatizo kwenye kutafsiri sheria inayohusu kosa tajwa....
sura ya 89 k/f 1 (b) cha kanuni ya adhabu kimemuhusu lijuakali...
 
Wote waliokua pale siku hiyo walikua wanatokea nyumba moja hakukuwepo wa kumuona mwenzake kakosea.
Stori za mtaani zinadai aliyepigwa akazimia aliona kua ndugu amekosea akaamua kushtaki kwa mungu, na ndiyo maana mheshimiwa haponi.
Lakini kimshambulia mtu nibkosabla jinai na mlalamikaji ni jamuhuri
 
Kampeni za uchaguzi uliopita Ndugai alimpiga mwenzie mpaka akazimia. Ni kwa nini hawakumfunga na leo wanamfunga mbunge wa Kilombero? Hapo kuna u-CCM na u-CHADEMA nauona. Ni kosa gani kubwa alilifanya mbunge wa Kilombero mpaka afungwe na Ndugai kaachwa?

Kampeni CCM: Ndugai ampiga mgombea mwenzake, azimia na kukimbizwa hospitali huko Kongwa

Tunapoelekea huko mbele hali itazidi kuwa mbaya na wananchi wanazidi kuchoka na hizi drama.

Alimpiga askari au mwanasiasa mwenzake? Siku nyingine chagua mtu wa kumpiga.
 
Ndungai alimpiga mtu ngumi lakini hakufungwa.kuna wengine walikamatwa na meno ya tembo na silaha nzito lakini wao walitozwa faini.kwanini huu tusiuite udikteta kwa wanao mkosoa!!!.?
 
Ndugai atapewaje adhabu mkuu wakati ndio wenye nchi? Chilongani ndio alipewa adhabu ya kuwa mkuu wa wilaya kwa kumsababishia usumbufu Ndugai.
Siku nyingine watakubali kuinamishwa kwa kupenda vyeo.utakubalije kudhalilishwa alafu wakupize kwa cheo!!!!.
 
Back
Top Bottom