Naskia wananchi wake sasa wanakufa kwa njaa.Mugabe sio mnafiki. Anataka ujumbe uwafikie wahusika moja kwa moja.
Hata akikutana na hao huwapasha bila ajizi tofauti na viongozi wengi wa Afrika wasio na ubavu huo.
Agghhhh.....Naskia wananchi wake sasa wanakufa kwa njaa.
Naskia wananchi wake sasa wanakufa kwa njaa.
mgabe ni simba wa afrika aliyebakia katika kizazi hiki
afu ndani ya jengo lililojengwa na haohao wazungu!Hii kitu sijaielewa mpaka leo, Rais Mugabe anawatukana sana Wazungu kwa kifupi anawachukia lkn anayafanya yote haya kwa Kiingereza tena kwenye makao Makuu ya nchi za Kiafrika sasa kwanini asitumie Kishona?
Propaganda tu hizo za wazunguNaskia wananchi wake sasa wanakufa kwa njaa.
Ili wamuelewe haraka lazima awaambie kwa lugha yao. Kwani we unachukuliaje? We binafsi angetumia kishona ungemuelewa?Hii kitu sijaielewa mpaka leo, Rais Mugabe anawatukana sana Wazungu kwa kifupi anawachukia lkn anayafanya yote haya kwa Kiingereza tena kwenye makao Makuu ya nchi za Kiafrika sasa kwanini asitumie Kishona?
Hajasoma communication skills huyo dogo.Hivi nikitaka ujumbe ukufikie, then nitakusemesha kwa lugha usio ielewa, je italeta maana!?
Mugabe ni straight talker
When you become more older,you think and act like a child.......Ndio Mgabe huyo,tukana huku uwe na uwezo wa kuatatua shida za wananchi wako.Wananchi wanakufa kwa njaa anaiomba dunia imsaidie..akina nani kama sio white faces with big noses!!Huyu mzee hawezi kufukir tena,nafas anayohold sasa does not match with his expired brain.Tusishabikie tu kama mazombie bila kua nafikra pambanuzi.Hii kitu sijaielewa mpaka leo, Rais Mugabe anawatukana sana Wazungu kwa kifupi anawachukia lkn anayafanya yote haya kwa Kiingereza tena kwenye makao Makuu ya nchi za Kiafrika sasa kwanini asitumie Kishona?
Ili wamuelewe haraka lazima awaambie kwa lugha yao. Kwani we unachukuliaje? We binafsi angetumia kishona ungemuelewa?
Anataka ujumbe ufike bila chenga, atumie kishona ili mkalimani aogope kusema ukweli ageuze maneno?