Habari wana JF,
Kuna watu hawajui kumuacha mtu kistaarabu, unakuta mtu anakuacha kwa masifa, madharau, nyodo kibao mpaka unadata. Mara nyingi watu wa namna hii mbele yao maishani hupitia misuko suko na kujutia waliyoyafanya hata wakatamani masiku yarudi nyuma ili wasawazishe makosa yao.
Nimewahi kuwa muhanga wa jambo hili kwa binti niliewekeza nikijua ni future wife, daily ananiambia anajutia sana kumuacha mtu mwenye upendo wa kweli, ananiambia licha ya kuwa tayari nina mke nimfikirie tu maana hana amani maishani mwake kwa nyakati ngumu anazopitia, mimi nimemuweka wazi, haiwezekani hata kwa bahati mbaya japo nishamsamehe lakini daily hachoki kunitafuta.
Kuna watu hawajui kumuacha mtu kistaarabu, unakuta mtu anakuacha kwa masifa, madharau, nyodo kibao mpaka unadata. Mara nyingi watu wa namna hii mbele yao maishani hupitia misuko suko na kujutia waliyoyafanya hata wakatamani masiku yarudi nyuma ili wasawazishe makosa yao.
Nimewahi kuwa muhanga wa jambo hili kwa binti niliewekeza nikijua ni future wife, daily ananiambia anajutia sana kumuacha mtu mwenye upendo wa kweli, ananiambia licha ya kuwa tayari nina mke nimfikirie tu maana hana amani maishani mwake kwa nyakati ngumu anazopitia, mimi nimemuweka wazi, haiwezekani hata kwa bahati mbaya japo nishamsamehe lakini daily hachoki kunitafuta.