Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
HABARI WANA JF,
Nimejaribu kufikiri kwa muda mfupi sana, nikaja na hili wazo!
Naombeni tujadiliane, kwa nini huyu jamaa hajapewa hata unaibu uwaziri? kama elimu anayo na ni mtaalamu wa masuala ya biashara. Tena ni kijana matata na hodari anayeikuza kampuni ya MOHAMEDI ENTERPRISE kwa kupanuka vilivyo.....
Je ni kasumba ya kuwa muhindi au? lakini ni mtanzania haswa, nakumbuka babu Nyerere alimpa madaraka mbalimbali Mzee Al-noor Kassum ingawa ni muhindi. Hadi leo ni mkuu wa Chuo Cha Sokoine!!!
haya twende,
Lakini CDM msinitukane, tujadili kiutaifa kwanza!!!!
Nimejaribu kufikiri kwa muda mfupi sana, nikaja na hili wazo!
Naombeni tujadiliane, kwa nini huyu jamaa hajapewa hata unaibu uwaziri? kama elimu anayo na ni mtaalamu wa masuala ya biashara. Tena ni kijana matata na hodari anayeikuza kampuni ya MOHAMEDI ENTERPRISE kwa kupanuka vilivyo.....
Je ni kasumba ya kuwa muhindi au? lakini ni mtanzania haswa, nakumbuka babu Nyerere alimpa madaraka mbalimbali Mzee Al-noor Kassum ingawa ni muhindi. Hadi leo ni mkuu wa Chuo Cha Sokoine!!!
haya twende,
Lakini CDM msinitukane, tujadili kiutaifa kwanza!!!!