Kwanini mimi?

Huo ugonjwa unakutafuta mkuu kupitia agents ambao ni hao warembo so unaonekana una mvuto ili waje wenyewe jifunze kukataa... Sio lazima uwapitie wote. Nimewahi kuwa kweye situation kama yako so naelewa sio sifa mkuu.

Xmass Boy.
Huwa siwapitii wote mkuu,kuna vigezo ambavyo nimeviweka so ni lazima mwanamke awe navyo ndo nimgegede
 
Mpenda sifa!! Baada ya kutongozwa sana na wanawake pm leo umekuja tena na jipya!
 
pale unapoachwa na ex aliyekua anaroho tajiri na ukajua mpo mtandao mmja wa kijamiii unaandika ili aumie kwasababu wew umemove onn lakin bado unaumia sasa unaona mwenzako anaendelea unajitahid aumie kwasababu kila mda yupo akilin eeeh Mungu mpunguzie adhabu kijana uyu matusi ni bora kwa afya yako yanapunguzza msongooo
 
Please please please Bro lipia TANGAZO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpenda sifa!! Baada ya kutongozwa sana na wanawake pm leo umekuja tena na jipya!
Ndo lile lile tatizo mkuu la kupendwa na kuhongwa na wanawake bado linanisumbua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…