Kwanini kesi za ubakaji na ulawiti zinakuwa na dhamana? Hii ndio sababu vitendo vya ubakaji na ulawiti zimekithiri

goroko77

JF-Expert Member
Jul 9, 2019
8,855
12,989
Habari wakuu,

Kuna wakati tulikuwa tuna fuatilia kesi moja ya dogo mpuuzi aliyemlawiti na kumbaka kwa pamoja ndugu yangu. Ila ajabu yule kijana aliwekewa dhamana na kutoka baada ya siku mbili, akiwa mahabusu ya police central Arusha na kutuacha vichwa chini tukiwa tunajuwa kabisa kuwa huyu ni maisha ataozea jela. Kesi ilipigwa juu kwa juu kwani alikuwa na ndugu yake mwenye pesa. Kesi iliisha kimasiara wakati kijana alikutwa live bila chenga akimlawiti ndugu yangu mtoto mdogo.

Naomba wanasheria waje hapa wanieleze kwanini kesi za namna hii zimewekewa dhamana, hii si hatari sasa ikiwa watuhumiwa wanajua kabsa kuwa watachomoka tu.

Nimekuwa nikifatilia sana habar za mahakama kwa kusoma kwenye magazeti na kutazama kupitia vyombo vya habr ila sijawai kuona mtuhumiwa wa ubakaji na ulawiti amepelekwa jela miaka kadhaa. Sijui nyinyi mmesikia wapi zaid sana ile ya babu seya tu na sasa kaachiwa .
Leo nimeona pia mkasa kupitia hapa hapa JF.




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Dhamana ni haki ya kikatiba.

Makosa hayo umetaja juu hapo yanadhaminika na Unaweza dhaminiwa polisi au mahakamani.

Ili mtu asiweze kupewa dhamana inabidi Mwendesha mashitaka aweke hati ya kuzuia mtuhumiwa asidhaminiwe na aweke na sababu.
 
Dhamana ni haki ya kikatiba.

Makosa hayo umetaja juu hapo yanadhaminika na Unaweza dhaminiwa polisi au mahakamani.

Ili mtu asiweze kupewa dhamana inabidi Mwendesha mashitaka aweke hati ya kuzuia mtuhumiwa asidhaminiwe na aweke na sababu.
Kumbe ndio maana ubakaji umekithiri
 
Kumbe ndio maana ubakaji umekithiri
Hili jambo ili liishe sio Sheria pekee inayohitajika, kwa sababu kuua hukumu yake ni kifo lakini bado watu wanauana.

Nazani ni maadili na kuwa na hofu ya Mungu vinaweza saidia
 
Wanasheria watuchambulie kwa makini

Halafu pesa ikishaingia kwenye kesi, haki hupotea

Habari wakuu,

Kuna wakati tulikuwa tuna fuatilia kesi moja ya dogo mpuuzi aliyemlawiti na kumbaka kwa pamoja ndugu yangu. Ila ajabu yule kijana aliwekewa dhamana na kutoka baada ya siku mbili, akiwa mahabusu ya police central Arusha na kutuacha vichwa chini tukiwa tunajuwa kabisa kuwa huyu ni maisha ataozea jela. Kesi ilipigwa juu kwa juu kwani alikuwa na ndugu yake mwenye pesa. Kesi iliisha kimasiara wakati kijana alikutwa live bila chenga akimlawiti ndugu yangu mtoto mdogo.

Naomba wanasheria waje hapa wanieleze kwanini kesi za namna hii zimewekewa dhamana, hii si hatari sasa ikiwa watuhumiwa wanajua kabsa kuwa watachomoka tu.

Nimekuwa nikifatilia sana habar za mahakama kwa kusoma kwenye magazeti na kutazama kupitia vyombo vya habr ila sijawai kuona mtuhumiwa wa ubakaji na ulawiti amepelekwa jela miaka kadhaa. Sijui nyinyi mmesikia wapi zaid sana ile ya babu seya tu na sasa kaachiwa .
Leo nimeona pia mkasa kupitia hapa hapa JF.




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya kesi ya nn mngemalizana kimtaa kama mmemfuma na washamwachia dogo kashaharibika piga kimbola shenzi huyo akafie mbele.
 
Habari wakuu,

Kuna wakati tulikuwa tuna fuatilia kesi moja ya dogo mpuuzi aliyemlawiti na kumbaka kwa pamoja ndugu yangu. Ila ajabu yule kijana aliwekewa dhamana na kutoka baada ya siku mbili, akiwa mahabusu ya police central Arusha na kutuacha vichwa chini tukiwa tunajuwa kabisa kuwa huyu ni maisha ataozea jela. Kesi ilipigwa juu kwa juu kwani alikuwa na ndugu yake mwenye pesa. Kesi iliisha kimasiara wakati kijana alikutwa live bila chenga akimlawiti ndugu yangu mtoto mdogo.

Naomba wanasheria waje hapa wanieleze kwanini kesi za namna hii zimewekewa dhamana, hii si hatari sasa ikiwa watuhumiwa wanajua kabsa kuwa watachomoka tu.

Nimekuwa nikifatilia sana habar za mahakama kwa kusoma kwenye magazeti na kutazama kupitia vyombo vya habr ila sijawai kuona mtuhumiwa wa ubakaji na ulawiti amepelekwa jela miaka kadhaa. Sijui nyinyi mmesikia wapi zaid sana ile ya babu seya tu na sasa kaachiwa .
Leo nimeona pia mkasa kupitia hapa hapa JF.




Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sheria zote duniani zinamtambua mtuhumiwa kuwa hana Hatia mpaka pale kosa litakapothibitishwa Mahakamani bila shaka yeyote. Hivyo kila kosa linastahili dhamana, ila mashariti ya dhamana na uwezekano wa kuingilia ushahidi ndio muhimu.
Kitu muhimu katika kufanikisha hizi kesi ili wahalifu wapate haki yao, ni kuongeza ujuzi na uwezo wa wapelelezi waendesha mashitaka wetu na madaktari wanaochukua ushahidi.
Mahakamani ni mahali pa kufuata sheria sio lazima pawe mahali pa kutoa Haki.
Kama ambavyo wahalifu wengi wanapenya, vilevile jela zimejaa wafungwa wasio na hatia, wengine wameshanyongwa.
Sio siri kuwa jeshi la Polisi bado lina vihiyo wengi na hivi majuzi aliyekuwa waziri wao alithibitisha hivyo.
 
Back
Top Bottom