Kwanini iwe Kagame Cup?


Mbona hamjasonga mbele huko Rwanda? Hamkufika hata nusu fainali huku mkiwa wawakilishi wa nchi katika klabu bingwa barani Afrika! Mmelewa mi sifa tu huku mkiwa ovyo kuliko hata Simba na Yanga. Hamtafanikiwa hadi muache kuhonga vinginevyo mtaendelea kuimbishwa 'Ninayo hamu kurudi nyumbani... Kwetu pazuri nimeshapakumbuka...
 

Hao sawa maana hata Mwenyekiti wao aliwai kuwaita Mambumbu na wakampigia makofi.
 
Last edited by a moderator:
mmeshazoea kuhonga na mnadhani wote wanacheza mpira kwa kuhonga!
 
Unafiki na Majungu ndo maisha ya Watanzania. Hawa yanga si ndo walienda kumtembelea huyo anayeitwa muuaji Ikulu na wakala naye chakula?
 
tehe tehe tehe! yanga = simba = OKWI? timu za wababaishaji bana!
 
Kama ukiliangalia katika mtizamo wa kisiasa itakusumbua sana. Jaribu tu kulichukulia kimichezo. Haya mashindano kabla ya Kagame kujitolea kuwa mlezi wa mashindano yalikuwa yakiitwa East and Central Africa Club Championship.
European Super Cup inaitwa kombe la mfalme wa Monaco, na lazima hii mechi ichezwe Monaco kila mwaka. Kwasababu watu wa Ulaya hawaichukulii kisiasa haiwapi tabu kabisa.
 

mshabiki wa yanga kumjua sio lazima avae njano na kijani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…