AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
halafu hela ni kidogo sana.nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame? kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye? kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa? kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala? kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....
nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame? kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye? kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa? kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala? kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....
Musonye kaka pesa tayari. Lakini kesho Tu tunaweza ita Mkwawa cup,Kenyata cup,Nyerere cup au hata Azusa cup. Worry not mkuu!
nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame? kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye? kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa? kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala? kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....
halafu hela ni kidogo sana.
Azam watakubali kuacha kimbelembele?
JK cup
wivu mbaya sana! azamu inakuuma sana, lakini huna jinsi na utabaki na uswahili wako! mwambie tajiri yako manji adhamini hiyo kagame cup ili mbadili jina, hater!
yani watu wengine wanaroho kama za mama wa kambo,unakumbuka hiki kikombe kabla hakijaitwa kagame cup kilikua kimefifia kabisa kutokana na kukosa pesa/udhamini,na maraisi na matajiri katika EAC walikuwepo lakini hakuna hata mmoja aliyejitokeza kusaidia akiwemo na wewe,sasa kuitwa kagame cup nafikiri ni kwasababu yeye ndiye mdhamini na ili waweze ku sustain huo udhamini nafikiri waliamua hilo kombe liitwe kagame cup,sasa tuseme huo ni wivu au roho mbaya tu! kwani hata haya marumbano na chuki dhidi ya pk ni mambo kama haya na yanayo sambazwa na watu kama nyie..kunatatizo gani kudhamini kitu na kuitwa jina lako?nimekuwa nikijiuliza, faida ya kagame cup ni nini?ni kumtukuza rais kagame au ni kwasababu africa mashariki na kati hakuna watu wengine wenye uwezo wa kuweka kombe kama alivyofanya kagame?
kwanini tunaliita kagame cup? huyo jamaa amekuwa adui wa watanzania kwa kitambo kwanini bado tunamtukuza adui aliyesema atamvizia rais wetu amtwange? watz kwanini tusiwaache kabisa hao na kombe lao la kagame na musyonye?
kwanini lisibadilishwe jina badala ya kuitwa kagame cup liitwe jina lolote linalohusiana na East and central africa?au pamoja na the horn of africa?
kwanini tunamtukuza kagame ambaye anazo allegation nyingi sana za mauaji ya wapinzani wake pamoja yaliyojiri hadi kufikia genocide Rwanda? kwanini tusibadilishe kabisa jina hili, kajamaa kametutawala?
kama ni mpira wa africa mashariki wote, tunatakiwa kubadilisha jina. zaidi sana angekuwa anatoa hela nyingi tungesema sijui, sasa mshindi wa kwanza anapata dola alfu 30 tu (ambazo manji anao uwezo kutoa mil. 100 watu waingie yanga bure),....
Dah huyu jamaa traore ni noma sana aiseeHuyo mchezaji TRAORE wa ELMERECK anastahili awe anacheza ligi kuu ya Englandi sijui huku anatafuta nini. Yanga , Simba na Azam Zenye mabilioni zijifunze kufanya usajili kama hii timu ya sudani sio kwenda kuokota SCRAPER huko HYTI. BRAZIL na KENYA
basi endelea kuumia! mlifikiri mkidengua mtabembelezwa kama zamani!? huo muda umepita! mwaka juzi mlidanganyana na mbabaishaji membe eti sudan hakuna amani watu wakaenda na wakacheza wakarudi salama na safari mkaleta tena mapozi mkafikiri watawabembeleza, olaah! watu wamecheza na mshindi amepatikana! sasa endelea kuumia na azam itaendelea kusonga mbele na mpira wenu wa magazetini!Iniume nini wakati Azam wametolewa kwenye mashindano? Ni kweli iliniuma sana mlipopewa nafasi yetu kwa misingi ya kifisadi, nikaendelea kuumia pia mlipokuwa mkisonga mbele hadi robo fainali; hapo mlipotolewa nilipata raha isiyo kifani! Hadi sasa naendelea kwenye furaha kila nikimkumbuka mchezaji wenu aliyepeleka ile penati mikononi mwa golikipa wa El-Merreikh.
Kwa azam ipi ile ya bakheresa au ya mtaani kwenu inayoendelea!!basi endelea kuumia! mlifikiri mkidengua mtabembelezwa kama zamani!? huo muda umepita! mwaka juzi mlidanganyana na mbabaishaji membe eti sudan hakuna amani watu wakaenda na wakacheza wakarudi salama na safari mkaleta tena mapozi mkafikiri watawabembeleza, olaah! watu wamecheza na mshindi amepatikana! sasa endelea kuumia na azam itaendelea kusonga mbele na mpira wenu wa magazetini!
Kwa azam ipi ile ya bakheresa au ya mtaani kwenu inayoendelea!!