Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Habarini wana Jf kitengo hiki cha MMU. Nisiwachoshe sana niseme tu moja kwa moja
,Hakuna tabia inanikera kama mtu kujisifia sana badala yakuonyesha mfano, any way najua hakuna mwanaume anayependa kuonekana awezi, ila kitu nakiona humu na sehemu nyingi tu ,hakuna mahali mwanaume anapost habari yake yakudadavuana na mrembo bila kuseme " yani nilipiga show ya maaana 2hrs man standing" au utakuta mtu kaandika " yani nikaunga vitatu bila kumchelewesha " au " nilimkomoa nilipiga yani nilifumua 3hrs" yani haman ambaye atasema jamani nilipania kumkomoa ila kwabahati mbaya dk 5 tu mm niko hoi. Dah huwa nachokaga sana wengi humu wanatulisha matango pori hamna ambaye atasema chini ya 30mn au ndio kutengeneza CV .let us change bana sio kila show bana uwe mshindi tu ww kuna zingine unafungwa. nawasilisha
,Hakuna tabia inanikera kama mtu kujisifia sana badala yakuonyesha mfano, any way najua hakuna mwanaume anayependa kuonekana awezi, ila kitu nakiona humu na sehemu nyingi tu ,hakuna mahali mwanaume anapost habari yake yakudadavuana na mrembo bila kuseme " yani nilipiga show ya maaana 2hrs man standing" au utakuta mtu kaandika " yani nikaunga vitatu bila kumchelewesha " au " nilimkomoa nilipiga yani nilifumua 3hrs" yani haman ambaye atasema jamani nilipania kumkomoa ila kwabahati mbaya dk 5 tu mm niko hoi. Dah huwa nachokaga sana wengi humu wanatulisha matango pori hamna ambaye atasema chini ya 30mn au ndio kutengeneza CV .let us change bana sio kila show bana uwe mshindi tu ww kuna zingine unafungwa. nawasilisha