Kwanini huwa hatupeleki nguo za ndani kwa Mafundi kushona zikitatuka?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,417
120,728
Utakuta Wanadamu Ni Wepesi Mno Kupeleka Nguo Zetu Mbalimbali Kwa MAFUNDI CHEREHANI Kuzishona Pindi Zinapotatuka au Kuraruka Lakini Tokea Nizaliwe Hadi Hivi Leo Sijawahi Kuona Mtu AKIPELEKA KWA FUNDI CHUPI YAKE LABDA ILIYOTOBOKA au KUTATUKA Ili Kushona KIRAKA Aina Ya Zig Zag Kama Tunavyofanya Katika Nguo Zetu Zingine.

Nini Sababu Kubwa Labda Inayopelekea WATU Kushindwa Kuwapelekea MAFUNDI CHEREHANI Nguo Zao Za Ndani ( CHUPI / KUFULI ) Pindi Zikihitaji Marekebisho Ya KIUSHONAJI Kusudi Zirejee Katika Hali Yake Ya Kawaida Na Ziendelee Kutumika?

Karibuni Wavaa Chupi Wenzangu Tutiririke!
 
Habari hii imekujia kwa hisan ya sadolin
Jipatie kisado cha rangi kama Zawadi pindi ununuapo ndoo za rangi zenye ujazo wa lita 20
 
Mh hata ukiipeleka fundi hatoikubali. Hawa mafundi wanaongozwa na imani imani fulani, kwani hata nguo ikitobolewa na panya zamani walikuwa hawashoni, sina hakika siku hizi. Sababu kubwa kwa kifupi ni mhusika kuona aibu lakini pia mafundi wanaamini ni mkosi kushona nguo ya ndani ya mteja
 
Mi nilidhani Genta ni mtu Fulani hivi wa heshima, nikawa naheshimu kazi yake.
Hahhahaah hapa watu wengi huwa tofauti sana na unavyomfikiria wewe, mwingine hupenda kuwa funny tu ila kiuhalisia hayupo hivyo mwingine na ndiyo mahali pekee anapoweza kutukania mtu maana yupo nyuma ya keyboard na id fake...So usichukulie watu serious sana huku...Akikuzingua na wewe unamzingua tu ...akija kipadre unaenda nae kipadre..
 
Hahhahaah hapa watu wengi huwa tofauti sana na unavyomfikiria wewe, mwingine hupenda kuwa funny tu ila kiuhalisia hayupo hivyo mwingine na ndiyo mahali pekee anapoweza kutukania mtu maana yupo nyuma ya keyboard na id fake...So usichukulie watu serious sana huku...Akikuzingua na wewe unamzingua tu ...akija kipadre unaenda nae kipadre..

Nimecheka Sana Mkuu Hadi Nimejikuta Sasa Najamba Halafu Naangalia Chupi Nayo Imetatuka Kama Siyo Kutoboka Nadhani Kutokana Na Msukumo Wa Mjambo. Vipi Unadhani Niipeleke Kwa Fundi Akaweke Kiraka Hapa Palipotatuka au Niachane Nayo Tu? Halafu Ni Moja Ya Chupi Ninayoipenda KUNAKOTUKUKA.
 
Kwa sababu gharama za fundi zinaweza kuwa kubwa kuliko bei ya chupi yenyewe vinginevyo uwe unavaa pitishoti(bukta zamani walikuwa wanavaa dada zetu wakicheza netball kabla ya ujio wa skintight) au jeans
 
Nimecheka Sana Mkuu Hadi Nimejikuta Sasa Najamba Halafu Naangalia Chupi Nayo Imetatuka Kama Siyo Kutoboka Nadhani Kutokana Na Msukumo Wa Mjambo. Vipi Unadhani Niipeleke Kwa Fundi Akaweke Kiraka Hapa Palipotatuka au Niachane Nayo Tu? Halafu Ni Moja Ya Chupi Ninayoipenda KUNAKOTUKUKA.
Mfano mzuri ni huyu jamaa amekaa kiboya boya kumbe ni msomi mzuri tu kasoma Shighatin akamaliza akaenda SAUT akasoma na Nsia Swai na sasa ana hold Masters imagine na hii comment yake hapa...
 
Mfano mzuri ni huyu jamaa amekaa kiboya boya kumbe ni msomi mzuri tu kasoma Shighatin akamaliza akaenda SAUT akasoma na Nsia Swai na sasa ana hold Masters imagine na hii comment yake hapa...

au utashangaa kumbe ni mtangazaji maarufu ITV na anatangaza habari saa mbili ila akiwa jf with fake id sasa hatariii.
 
Back
Top Bottom