Pole. Ila mara nyingi kitu kinachojisuria kina makusudi ndani yake, kimsingi ukiota uko darasa la nyuma ama uliloishia inamaanisha kuna level ambayo bado hujaivuka in spiritual realm, iko hivi mambo mengi huwa yanaanzia katika ulimwengu wa roho halafu yanakuja kuwa halisia katika maisha ya kawaida. Nsio maana hata wachawi wanamaliza maiaha ya watu katika ulimwengu wa roho halafu baadae yanakuja kuwa halisi katika maisha ya kawaida.Habari wanajamvi
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika
Nilimaliza kidato cha sita mika kumi na moja(2008),nikisoma mchepuo wa sayansi.Kuna ndoto huwa inanitokea mara kwa mara siwezi maliza hata miezi mitatu bila kuota ndoto hiyo
Hii ndoto naweza kuota nimerudi shule tuko form six tunajiandaa kufanya mitihani ila kila ninachosoma naona sikielewi,kuna kipindi naota serikali imefuta matokeo yote ya form six (2008) tumeambiwa turudi kufanya mitihani upya ,najikuta nikishika physics sikumbuki kitu,nikigusa Advance Math ndio silewi kabisa.
Kuna kipindi nikaawauliza jamaa niliosoma nao kama nao wamwahi pata ndoto kama hii,ila hakuna aliwahi kupata ndoto kama yangu
Sijawahi ota niko chuo,wala o-level nafanya mtihani,wala primary school.Ila kiukweli hii ya kuota narudia mtihani wa form six ,siwezi maliza hata miezi mitatu muda mwingine mpaka nakurupuka
Najua kuna watu humu wanaweza kunipa muongozi kwa nini hii ndoto inajirudia mara kwa mara
Mh..bas na mie mnisaidie kutafsiri hii ndoto..nimewah ota nimeolewa na Kangi (serious jaman msaada wenu)..je ni laana au heri
Mmh huo mkosi huo bora nikuoe mimi kuliko hilo dubwashaMh..bas na mie mnisaidie kutafsiri hii ndoto..nimewah ota nimeolewa na Kangi (serious jaman msaada wenu)..je ni laana au heri
nilijua kuna watakaocheka..tena ni wakat alipoteuliwa tu substitue ya MN..msaada pls!
Nimewahi kuota ndoto kama hii karibia details zote muhimu zimefanana.Habari wanajamvi
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika
Nilimaliza kidato cha sita mika kumi na moja(2008),nikisoma mchepuo wa sayansi.Kuna ndoto huwa inanitokea mara kwa mara siwezi maliza hata miezi mitatu bila kuota ndoto hiyo
Hii ndoto naweza kuota nimerudi shule tuko form six tunajiandaa kufanya mitihani ila kila ninachosoma naona sikielewi,kuna kipindi naota serikali imefuta matokeo yote ya form six (2008) tumeambiwa turudi kufanya mitihani upya ,najikuta nikishika physics sikumbuki kitu,nikigusa Advance Math ndio silewi kabisa.
Kuna kipindi nikaawauliza jamaa niliosoma nao kama nao wamwahi pata ndoto kama hii,ila hakuna aliwahi kupata ndoto kama yangu
Sijawahi ota niko chuo,wala o-level nafanya mtihani,wala primary school.Ila kiukweli hii ya kuota narudia mtihani wa form six ,siwezi maliza hata miezi mitatu muda mwingine mpaka nakurupuka
Najua kuna watu humu wanaweza kunipa muongozi kwa nini hii ndoto inajirudia mara kwa mara
😂😂😂😂😂Mmh huo mkosi huo bora nikuoe mimi kuliko hilo dubwasha
Sawa kabisa; watu wengi sana wanaota ndoto hii. Hata hao rafiki zako ukiwauliza kwa undani kabisa watakuambia, walikuficha tu lakini ndoto hizi ni nyingi.Pole. Ila mara nyingi kitu kinachojisuria kina makusudi ndani yake, kimsingi ukiota uko darasa la nyuma ama uliloishia inamaanisha kuna level ambayo bado hujaivuka in spiritual realm, iko hivi mambo mengi huwa yanaanzia katika ulimwengu wa roho halafu yanakuja kuwa halisia katika maisha ya kawaida. Nsio maana hata wachawi wanamaliza maiaha ya watu katika ulimwengu wa roho halafu baadae yanakuja kuwa halisi katika maisha ya kawaida.
Sijajua imani yako katika Mungu imesimama wapi ila ukichunguza katika maisha ya kawaida kuna mambo/jambo lako ambalo halisogei au haliendelei. Au kuna jambo la maingi unalopaswa kulifanya ila huwezi kuliendeleza au unapata changamoto kulifanya then unakata tamaa.Sasa ukifanya utafiti kwenye eneo lolote la maisha yako utaelewa. Baada ya hapo fanya maombi ya toba Mungu akurehemu ikiwa ipo sababu ya wewe kupitia hali hiyo. Halafu mshukuru Mungu. Utanipa mrejesho
Nilichokueleza mimi niliexperience but mimi niliota nimerudia darasa la pili kutoka chuo. Ila niligundua kuna kosa nilimkosea Mungu ndio mana yakanikuta hayo na mambo yangu yalikua hovyo kabisa, ila niliomba Mungu anirehemu nikaacha kabia kurudia kosa hilo, nikaanza kuota eti nimeanza shule niko Advanced level from class two. Nikajua hata Mungu amenisamehe but as I go on naona level zinaendelea mbele..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa; watu wengi sana wanaota ndoto hii. Hata hao rafiki zako ukiwauliza kwa undani kabisa watakuambia, walikuficha tu lakini ndoto hizi ni nyingi.
Maana ya ndoto hizi ni kukwama au kurudishwa nyuma kimaendeleo. Wanao ota ndoto hizi mara nyingi ni watu wenye malengo ya juu na bidii kubwa. Hawa mara nyingi huwindwa sana ili kuiba juhudi zao na mafanikio yao kichawi kwa sababu wanakitu cha maana.
Rudi katika mstari kiroho, omba Mungu, tubu, fanya maombi ya vita dhidi ya adui wa kiroho (lakini hakikisha upo safi kiroho na unafahamu vizuri mambo ya kiroho). Pigana kiroho kurudisha yaliyoibwa kichawi kutoka kwenye maisha yako.
Hakikisha unasali kila asubuhi, sala fupi tu dk 2, na pia kila siku kabla ya kulala sali na jikabidhi mikononi mwa Mungu. Wachawi hutumia sana usiku kuharibu yakupasa uweke ulinzi wa Mungu kwa njia ya maombi.
Daaah nimeandika thread hii ni wiki sasa ila usiku wa kumakia jumanne ya tarehe 26 naota tena ndoto kama hiyo,tena nimeota kuna mshikaji wangu ambae tulikua o-level tunacompete kwenye masomo tumekutana tunajiandaa kufanya mtihani tena wa form six,nikamuuliza notes za complex nummber na differential kama anazo anisaidie mimi nimesahau.tatizo sijawahi ota hii ndoto labda nikaimaliza naishia kati tu kwenye kuhangaika kusoma ila sijawahi ota tuko kwenye exam .Nimewahi kuota ndoto kama hii karibia details zote muhimu zimefanana.
Naamini Mungu anajaribu kusema na wewe juu ya jambo ambalo litakuja kama funzo/fundisho kwako. Mathalani kuna ishu ambayo umetokea kuitafutia ufumbuzi kwa muda mrefu lakini imekuwa ikijirudia.
Ushauri: Ongeza ukaribu wako na Mungu atakufunulia nini unapaswa kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
ni week sasa nimeandika uzi ila ndoto hii inarudia tena ,inanipa wakati mgumu sana mkuu.usiku wa tarehe 25 naota tena ndoto hii ,mimi ni mtu wa imani sijui kwa mganga zaidi ya kutegemea MunguPole. Ila mara nyingi kitu kinachojisuria kina makusudi ndani yake, kimsingi ukiota uko darasa la nyuma ama uliloishia inamaanisha kuna level ambayo bado hujaivuka in spiritual realm, iko hivi mambo mengi huwa yanaanzia katika ulimwengu wa roho halafu yanakuja kuwa halisia katika maisha ya kawaida. Nsio maana hata wachawi wanamaliza maiaha ya watu katika ulimwengu wa roho halafu baadae yanakuja kuwa halisi katika maisha ya kawaida.
Sijajua imani yako katika Mungu imesimama wapi ila ukichunguza katika maisha ya kawaida kuna mambo/jambo lako ambalo halisogei au haliendelei. Au kuna jambo la maingi unalopaswa kulifanya ila huwezi kuliendeleza au unapata changamoto kulifanya then unakata tamaa.Sasa ukifanya utafiti kwenye eneo lolote la maisha yako utaelewa. Baada ya hapo fanya maombi ya toba Mungu akurehemu ikiwa ipo sababu ya wewe kupitia hali hiyo. Halafu mshukuru Mungu. Utanipa mrejesho
Nilichokueleza mimi niliexperience but mimi niliota nimerudia darasa la pili kutoka chuo. Ila niligundua kuna kosa nilimkosea Mungu ndio mana yakanikuta hayo na mambo yangu yalikua hovyo kabisa, ila niliomba Mungu anirehemu nikaacha kabia kurudia kosa hilo, nikaanza kuota eti nimeanza shule niko Advanced level from class two. Nikajua hata Mungu amenisamehe but as I go on naona level zinaendelea mbele..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi wapi? Nilikua napenda nikukaribishe kanisani kwetu upate counseling.ni week sasa nimeandika uzi ila ndoto hii inarudia tena ,inanipa wakati mgumu sana mkuu.usiku wa tarehe 25 naota tena ndoto hii ,mimi ni mtu wa imani sijui kwa mganga zaidi ya kutegemea Mungu
Nashukuru sana mkuu kuna kitu nimejifunza hakika nitavifanyia kaziSawa kabisa; watu wengi sana wanaota ndoto hii. Hata hao rafiki zako ukiwauliza kwa undani kabisa watakuambia, walikuficha tu lakini ndoto hizi ni nyingi.
Maana ya ndoto hizi ni kukwama au kurudishwa nyuma kimaendeleo. Wanao ota ndoto hizi mara nyingi ni watu wenye malengo ya juu na bidii kubwa. Hawa mara nyingi huwindwa sana ili kuiba juhudi zao na mafanikio yao kichawi kwa sababu wanakitu cha maana.
Rudi katika mstari kiroho, omba Mungu, tubu, fanya maombi ya vita dhidi ya adui wa kiroho (lakini hakikisha upo safi kiroho na unafahamu vizuri mambo ya kiroho). Pigana kiroho kurudisha yaliyoibwa kichawi kutoka kwenye maisha yako.
Hakikisha unasali kila asubuhi, sala fupi tu dk 2, na pia kila siku kabla ya kulala sali na jikabidhi mikononi mwa Mungu. Wachawi hutumia sana usiku kuharibu yakupasa uweke ulinzi wa Mungu kwa njia ya maombi.
Naishi Dar,naishi maisha ya kawaida tu sina shida na mtu ,amani ya moyo ipo,nafanya ibada,sina maagano yoyote ,kwetu hakuna historia ya mambo hayoUnaishi wapi? Nilikua napenda nikukaribishe kanisani kwetu upate counseling.
NB:
Ila pia shetani anapitishaga vitu katika ndoto, kwa hiyo inabidi uwe makini hapo kuwa je ni vitisho tu vya ndoto au? Jambo lingine la kujiuliza, Je uhalisia wa maiaha yako ukoje? Unapata upinzani wapi? Una amani ya kutosha moyoni? Hakuna maagano mabaya uliyojiingiza ukaacha kuyatumikia? Je historia yako tangu utoto ikojeikoje maisha kiujumla na wazazi wako yalikuaje?? Baada ya hii research jibu laweza patikana. Utanipa feedback.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa,mganga Mungu tu vitu vingine ni changamoto tu za maisha,hakuna cha mileleKimbia Kwa Mganga Tuntufye Mwakaleli.