Habari wanajamvi
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika
Nilimaliza kidato cha sita mika kumi na moja(2008),nikisoma mchepuo wa sayansi.Kuna ndoto huwa inanitokea mara kwa mara siwezi maliza hata miezi mitatu bila kuota ndoto hiyo
Hii ndoto naweza kuota nimerudi shule tuko form six tunajiandaa kufanya mitihani ila kila ninachosoma naona sikielewi,kuna kipindi naota serikali imefuta matokeo yote ya form six (2008) tumeambiwa turudi kufanya mitihani upya ,najikuta nikishika physics sikumbuki kitu,nikigusa Advance Math ndio silewi kabisa.
Kuna kipindi nikaawauliza jamaa niliosoma nao kama nao wamwahi pata ndoto kama hii,ila hakuna aliwahi kupata ndoto kama yangu
Sijawahi ota niko chuo,wala o-level nafanya mtihani,wala primary school.Ila kiukweli hii ya kuota narudia mtihani wa form six ,siwezi maliza hata miezi mitatu muda mwingine mpaka nakurupuka
Najua kuna watu humu wanaweza kunipa muongozi kwa nini hii ndoto inajirudia mara kwa mara
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika
Nilimaliza kidato cha sita mika kumi na moja(2008),nikisoma mchepuo wa sayansi.Kuna ndoto huwa inanitokea mara kwa mara siwezi maliza hata miezi mitatu bila kuota ndoto hiyo
Hii ndoto naweza kuota nimerudi shule tuko form six tunajiandaa kufanya mitihani ila kila ninachosoma naona sikielewi,kuna kipindi naota serikali imefuta matokeo yote ya form six (2008) tumeambiwa turudi kufanya mitihani upya ,najikuta nikishika physics sikumbuki kitu,nikigusa Advance Math ndio silewi kabisa.
Kuna kipindi nikaawauliza jamaa niliosoma nao kama nao wamwahi pata ndoto kama hii,ila hakuna aliwahi kupata ndoto kama yangu
Sijawahi ota niko chuo,wala o-level nafanya mtihani,wala primary school.Ila kiukweli hii ya kuota narudia mtihani wa form six ,siwezi maliza hata miezi mitatu muda mwingine mpaka nakurupuka
Najua kuna watu humu wanaweza kunipa muongozi kwa nini hii ndoto inajirudia mara kwa mara