Kwanini Haji Manara wasimfundishe adabu

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,586
Reaction score
66,282
Hi

Mimi binafsi huyu jamaa sikubaligi hata kidogo kwanza ana mdomo mchafu hana lugha mzuri mbele za watu hata kwa familia yake ilo lipo wazi

Chaajabu yanga wanaendelea kumbeba kwanini walimshindwa simba

Mfano kwatukio la leo hili ni udhariroshaji mwanaume unashindwa kuwa na kifua ukatatua matatizo badala yake unatumia watu ili wamchafue mkeo wa ndoa then unakuja mbele za watu kujifanya huna hatia

Sio sawa huyu wasingempa ubaalozi mpaka pale atakapo amua kubadirika mtoto wa kiume unashindana na mwanamke kweli
 
Wanaume bongo walibaki wachache sana kiongozi, bora warudishage jando kama zamani hata waweke kwenye mitaala ya sekondari tutapata watu wenye akili, kwa sasa wabongo mazombie tu kma manyani!
 
Mkuu lete vionjo vipya vya jikoni, achana na haji,,,, huyo anaoa mpaka anazeeka., ameshindwa kutofautisha kazi/umaarufu/maisha personal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…