paliemba
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 445
- 214
Wadau kuna kitu kime nishangaza saana huku kwetu kisiwani . Unajuwa katika kipindi hiki cha awamu ya tano tuna aminishwa kwamba kuna uwajibikaji mkubwa wa watumishi wa uma lakini pengine kwenye maeneo mengine, kunapwaya .
Hivi ni kweli jeshi la polisi halioni hii kitu? Inakuaje glocery inayo uza pombe watu wana kesha mpaka majogoo , je huu si unaweza ukawa mwanya wa warifu kufanya mambo yao kwa kisingizio kwamba wana kunywa bia?
Iweje kisiwani kuna baa kubwa nyingi zinazo fungwa saa sita kamili iweje hiki kiglosari kinakesha mpaka majogoo?
Tunaomba jeshi la polisi jaribuni kufuatilia nyenendo hapa inaweza kuwa kuna mambo yamejuficha au kuna baadhi ya maofisa wasio waaminifu wana kula mlungula na wanaruhusu kwa makusudi biashara ifanyike kwa muda ambao ama kibali hakiruhusu lakini kwa hila za viongozi wachache wenye tamaa.
Hiko kiglosary kinaitwa HOME BOY kinapatika geti jeusi barabara inayo shuka chini kushoto pale kwenye vibao vya shule .
Natanguliza shukrani zangu na nawatakia wahusika utekelezaji mwema.
########### EMBA
Hivi ni kweli jeshi la polisi halioni hii kitu? Inakuaje glocery inayo uza pombe watu wana kesha mpaka majogoo , je huu si unaweza ukawa mwanya wa warifu kufanya mambo yao kwa kisingizio kwamba wana kunywa bia?
Iweje kisiwani kuna baa kubwa nyingi zinazo fungwa saa sita kamili iweje hiki kiglosari kinakesha mpaka majogoo?
Tunaomba jeshi la polisi jaribuni kufuatilia nyenendo hapa inaweza kuwa kuna mambo yamejuficha au kuna baadhi ya maofisa wasio waaminifu wana kula mlungula na wanaruhusu kwa makusudi biashara ifanyike kwa muda ambao ama kibali hakiruhusu lakini kwa hila za viongozi wachache wenye tamaa.
Hiko kiglosary kinaitwa HOME BOY kinapatika geti jeusi barabara inayo shuka chini kushoto pale kwenye vibao vya shule .
Natanguliza shukrani zangu na nawatakia wahusika utekelezaji mwema.
########### EMBA