Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,215
- 1,240
Inashangaza watu ambao kwa nguvu zote walimkataa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais aliyepewa ridhaa ya kuongoza nchi na watnzania wengi sana.
CHADEMA walikataa hata kujadiri hotuba yake, bila aibu wakatoka nje ya bunge kwa madai kwamba hawawezi kujadili hotuba ya Rais najisi hivyo na hotuba ni najisi.
Sasa leo wanamtaka Rais ashiriki nini ktk kuondoa dosari kwenye mchakato wa katiba?
Je unajisi wake umekwisha, nani alimtakasa?.
CHADEMA walikataa hata kujadiri hotuba yake, bila aibu wakatoka nje ya bunge kwa madai kwamba hawawezi kujadili hotuba ya Rais najisi hivyo na hotuba ni najisi.
Sasa leo wanamtaka Rais ashiriki nini ktk kuondoa dosari kwenye mchakato wa katiba?
Je unajisi wake umekwisha, nani alimtakasa?.