Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,215
- 1,240
Je tuamini kuwa CHADEMA hakina mipango ya madhubuti ya kuingia Ikulu? Kwanini kusubiri mgombea makapi tena wakutoka CCM na ambaye ni fisadi? Je kama CHADEMA wanasubili wagombea wanaokataliwa CCM, je tuamini kuwa kumbe CCM inaviongozi wazuri sana kiasi kwamba wanaweza kutumiwa na Upinzani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

