Kwanini CCM Wasikabidhi Nchi kwa chama kingine?

Kwanini CCM Wasikabidhi Nchi kwa chama kingine?

Dopas

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2010
Posts
1,151
Reaction score
392
Wapendwa wanaJF
Baada ya CCM kuendelea kuongoza Nchi kwa mazoea... na baada ya kushuhudia udhaifu mkubwa.. na baada ya kushindwa kuleta matumaini mapya kwa watanzania.... na baada ya kuona hali inaendelea kuwa mbaya kila kukicha.. kwanini CCM wasikubali kwa moyo mweupe kabisa... hasa kwa faida ya watanzania, na Tanzania kwa ujumla, waendelee kung'ang'ania kubaki madarakani?
kwanini wasikabidhi Nchi kwa Chadema au chama kingine chenye kutuleta matumaini mapya Tanzania?
Sio aibu kuachia ngazi wakati ni wazi nguvu za kuendelea mbele hazipo tena...
Ni busara na heshima mwingine akijaribu, kuliko kung'ang'ania kuendelea kubaki ilhali inaonekana wazi kuwa kusonga mbele ni ndoto... ni hayo tu maoni yangu...
 
Wapendwa wanaJF
Baada ya CCM kuendelea kuongoza Nchi kwa mazoea... na baada ya kushuhudia udhaifu mkubwa.. na baada ya kushindwa kuleta matumaini mapya kwa watanzania.... na baada ya kuona hali inaendelea kuwa mbaya kila kukicha.. kwanini CCM wasikubali kwa moyo mweupe kabisa... hasa kwa faida ya watanzania, na Tanzania kwa ujumla, waendelee kung'ang'ania kubaki madarakani?
kwanini wasikabidhi Nchi kwa Chadema au chama kingine chenye kutuleta matumaini mapya Tanzania?
Sio aibu kuachia ngazi wakati ni wazi nguvu za kuendelea mbele hazipo tena...
Ni busara na heshima mwingine akijaribu, kuliko kung'ang'ania kuendelea kubaki ilhali inaonekana wazi kuwa kusonga mbele ni ndoto... ni hayo tu maoni yangu...

lengo la chama chochote kile cha siasa duniani ni KUSHIKA DOLA ndivyo ilivyo kwa CCM kwasababu nacho ni chama cha siasa.
 
Alafu ile biashara ya MENO YA TEMBO itakuaje? au unataka wakina kinana na wezake waandamane nn.....!!!
 
na kweli hayo bora ya baki kuwa maoni yako, kwa sababu yamekaa kiwewe wewe zaidi. Purely non sense.
 
Wakabidhi kwa sacoos aka chadomo au.Hakuna vyama Bali kuna chama kimoja nacho ni CCM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom