CCM ni chama ambacho kimeamua kuitawala hii Nchi kifamilia. Na tena wanaitafuna Nchi wao na ndugu zao. Kwa mfano Sumari wa Arumeru mashariki alifariki CCM wakampa Sioi mwanaye kugombea akapigwa chini na Nassari.
Jimbo la Kalenga sasa kapewa mtoto wa Mgimwa, Chalinze kapewa Ridhiwani Kikwete. Sasa kwa taswira hiyo mtoto wa maskini atakuja kushika nafasi gani kama watoto wa viongozi tu ndio wanaopewa fursa kwa nafasi zinazotokea?
Na hili linadhihirisha wazi kuwa ndio sababu Serikali ya CCM haitaki kuboresha Elimu ya shule za kata ili watoto wa maskini waendelee kuwa mbumbumbu ili waendelee kuwatawala.
Kwa mfano Bot 80% ya waajiriwa ni watoto wa viongozi. Mashirika makubwa yote ya Serikali mameneja karibu wote ni Ndugu na jamaa wa Viongozi.
Hizo ndizo sababu ya ccm kuitwa ukoo wa Panya, Na wananchi tusipojihadhari Ukoo wa Panya watatafuna Nchi mpaka ifilisike.
Watu wa chini kwa nini tulikumbatie hili Lichama ambalo liko kwa ajili ya maslahi ya viongozi na watoto wao?.
Jimbo la Kalenga sasa kapewa mtoto wa Mgimwa, Chalinze kapewa Ridhiwani Kikwete. Sasa kwa taswira hiyo mtoto wa maskini atakuja kushika nafasi gani kama watoto wa viongozi tu ndio wanaopewa fursa kwa nafasi zinazotokea?
Na hili linadhihirisha wazi kuwa ndio sababu Serikali ya CCM haitaki kuboresha Elimu ya shule za kata ili watoto wa maskini waendelee kuwa mbumbumbu ili waendelee kuwatawala.
Kwa mfano Bot 80% ya waajiriwa ni watoto wa viongozi. Mashirika makubwa yote ya Serikali mameneja karibu wote ni Ndugu na jamaa wa Viongozi.
Hizo ndizo sababu ya ccm kuitwa ukoo wa Panya, Na wananchi tusipojihadhari Ukoo wa Panya watatafuna Nchi mpaka ifilisike.
Watu wa chini kwa nini tulikumbatie hili Lichama ambalo liko kwa ajili ya maslahi ya viongozi na watoto wao?.