Kwanini ccm hawataki kukiri udhaifu

Kwanini ccm hawataki kukiri udhaifu

PATCHO

Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
79
Reaction score
10
Hali ya kisiasa inayoendelea nchini inajidhihirizha wazi kwamba ccm wako taabani kisiasa na wanachokifanya ni kujikaza kisabuni, sasa niwazi maandalizi yakuletwa kwa magari mengi yakipolisi niushahidi tosha kwamba ccm wataponea huruma za polisi ili wafunge GOLI LAO LAMKONO.. Lakin bila hivyo hata hilo goli lamkono itakuwa nikauli yakujifariji kwasababu wanajua upepo umebadilika zile enzi za usultan zimeisha wananchi hawaangalii kwahuruma sasa WA mchoka mabadiliko nje yamfumo ndicho kitu muhimu sasa. Watetezi wamikoa, wilaya ccm ndiyo haaooo wanabebwa namafurikooo...kiukweli anayeongelea ushindi ccm nadhani anakuwajifariji tu, hakuna wakujiuliza maswali mengi juu ya kile kinachoendelea nchi I ktk nyanja zakisiasa. nawashauri ccm na hata mkt wenu JK alishatoa mwongozo kwamba ccm mjipange Kisaikolojia kwa maamuzi magumu kisiasa, sasa mda ndio huu, je mmejipangaaaaa kisikolojia, kauli ya mwl Nyerere kwamba sikilizeni wananchi wanataka nini nyie mliwapuuza, sasa ndio muda huu kuadhibiwa kwadharau,ubabe naubinafsi wakujiona kuwa nyiye tu ndio watawala milele wa TZ.
 
Kuanzia lini mwizi akakir kuwa yey ni mwizi? Kipigo kikizidi ndo atasema kuwa ni mwizi kwa maana hiyo ccm ni kama mwizi wakitoka madarakani ndo watakiri kuwa ni dhaifu
 
Sabuni huwa inatoa povu mpaka hatua ya mwisho.So xxm issue kukubali kuwa imetota...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom