Satorukage
Member
- Jul 18, 2022
- 18
- 23
Nataka mtu atueleweshe kwanini bundle zimepanda bei na nini kilichosababisha hali hii, vile vile na solutions za tatizo hilo kama lipo.
Hii inaumiza sana wanachuo, unakuta mtu yuko radhi aweke bundle kuliko kula.
Mie naona sio haki kabisa.
Hii inaumiza sana wanachuo, unakuta mtu yuko radhi aweke bundle kuliko kula.
Mie naona sio haki kabisa.