Kwanini baadhi ya taasisi na mashirika ya umma ajira zao hazipitii Sekretariet ya Utumishi?

Hawatoki nje ya mliofanya nao oral, Hawa wanapitia process zote
Kwa hiyo hapo kwenye Oral ndipo figisu zinakoanzia, au siyo? Halaf hivi PSRS huwa wanaajiri wao au taasisi inayohitaji employees ndo yenye final say?
 
Yeah zile nafasi za mtu 1 ni heri usiende kama huna connection!
 
Aisee nilibahatisha kupata nafasi ya buildup capacity kwenye moja ya taasisi ya Umma usiombe Manager anakaba kinoma sema kinachosaidia siku hizi ukipata chance maboss wanajua ni pandikizi kutoka juu so kukutimua kizembe wanaogopa, but ninachokiona kwasababu sina connection nikimaliza programme yangu niende tu kitaa nikapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili mpaka rais analijua ndo maana siku ile alimchana naibu waziri wa mambo ya ndani nafasi 11 alikuwa anapeleka jamaa zake,magu akacancel.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwenye oral mkuu huu mchakato unaanzia kuanzia kwenye paper, witten then oral, kea taasisi zilizo na maslahi kiduchu hakuna anaejali but Taasisi zinazolipa vizuri mara nyingi Mara nyingi ndizo Zina final say, nakupa mfano mmoja mdogo na uuconfirm mwenyew, mwaka Jana mwezi wa Saba TAA walitangaza nafasi za kazi za Assistant Airport security ( 23posts) watu wakatuma maombi, baadae TAA akawaambia psrs anataka akachukue jeshini na tangazo likawa Re - advertised Tena psrs, watu wakatuma Tena kupitia portal but TAA akaenda kuchukua mwenyew jeshini anavyojua na Wala watu waliotuma hawakuitwa kwenye interview japo walitoa tangazo na mwezi January mwishoni psrs wakatoa tu majina ya watu walioitwa kazini TAA Kama assistant Airport security lakini hakuna popote alipotoa tangazo la kuitwa watu kwenye usaili na lazma ujue mshahara wa huyu security pale TAA mtu wa bachelor hizi taasisi za kawaida hamkuti
Kwa hiyo hapo kwenye Oral ndipo figisu zinakoanzia, au siyo? Halaf hivi PSRS huwa wanaajiri wao au taasisi inayohitaji
employees ndo yenye final say?
 
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, so kumbe PSRS ni kama paper tiger tu, hana makali!
 
Hahahahaha pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…