pinkpink Member Feb 2, 2013 75 31 Aug 18, 2013 #1 nimepewa dawa za minyoo vidonge vitano hospital nimeambiwa nitumie mida ya asubuhi, ila mtoa dawa hajaniambia kama nitafune au vip..kwa upande wangu naona nimeze na maji bila kutafuna kama Bublish
nimepewa dawa za minyoo vidonge vitano hospital nimeambiwa nitumie mida ya asubuhi, ila mtoa dawa hajaniambia kama nitafune au vip..kwa upande wangu naona nimeze na maji bila kutafuna kama Bublish
M mhondo JF-Expert Member Apr 23, 2011 968 342 Aug 18, 2013 #2 Ungemuuliza mtoaji wa hizo dawa ingekuwa vizuri zaidi.
sir Ganto G JF-Expert Member Jul 22, 2013 573 113 Aug 20, 2013 #3 ni lazima utafune,ndo ilivyo acha miswali mingi...